Manji sema usiposema...

Manji sema usiposema...

Inasemekana amekutwa na muhuri wa jeshi isivyo halali. Na pia vitambaa vya sare za jeshi. Mashtaka aliyofunguliwa ni uhujumu uchumi pamoja na kuhatarisha usalama wa taifa.

Nadhani ana mengi ya kusema kama atabahatika kuendelea kuwepo.

Je alikuwa na utaratibu wa kufanya hivyo kila mara?

Vitambaa hivyo vilikuwa vikipelekwa wapi? Kazi haswa ya huo muhuri ni nini?

Maana sasa kuna shtaka la uhujumu uchumi na usalama wa taifa. Sasa kwenye usalama wa taifa sijui tatizo liko wapi, kwani hizo sare zilitakiwa kupelekwa kwa wanajeshi waasi ama kikundi chochote cha uasi? (Mh rais ameshawahi kulihuisha na mauwaji ya kibiti pamoja na mashehe walioko lockup)

Wafanye wafanyacho ila cha muhimu haki itendeke, msumeno wa sheria ukate kotekote.

Yani hata kama kuna walioshirikiana naye na wako kwenye vyombo vya madaraka wabanwe. Unless rais aliyepo ana mpango wa kukaa madarakani maisha yake yote.

Kwasababu huwezi kumkuta na makosa na kumuhukumu kama ameshirikiana na vigogo halafu ukawafumbia macho vigogo hao na hukumu ikawa ya haki.

Kwa upande mwingine pia, asiwe amebambikiwa. Lakini kama vinahusiana na ugaidi ama jitihada za uasi, basi hilo ni suala jingine kabisa.
Ni hivi Manji alikuwa supplier wa JWTZ wa vitambaa vya jeshi ktk kipindi kilichopita.. kama ujuavyo majeshi yetu mambo mengi hufanya wazabuni hata chakula hupika wasio wanajeshi yaan wazabuni... so Magufuli yy hataki hiyo biashara lkn kumbuka mzabuni ana mkataba wake hapo ndipo tatizo lilipo.. pia MANJI ndio SUPPLIER WA TRANSFORMA ZOTE KWA TANESCO hapo pia magufuli hataki lkn jamaa ana mikataba halali.. kwa kifupi DEREVA NI MASIKINI HIVYO HAPENDI MATAJIRI.......
 
double standard.
Serikali hii ya awamu ya tano imedhamiria kupambamba na mafisadi. Na inabidi ianzie kwa watu fulani. Haiwezekani kuwa kamata wote kwa wakati mmoja.

It has to start somewhere !
 
Mwanasiasa mwanachama wa CCM na Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Yusuph Manji inawezekana ndiye Diwani pekee wa CCM ambaye anakumbana na misukosuko mingi sana katika siku za karibuni. Lakini watu kadhaa wanadai kwamba Manji anajua nini kinaendelea dhidi yake.

Kama nadharia kwamba Manji anajua kinachoendelea dhidi yake ni ya kweli, basi ni yeye mwenyewe ndiye mwenye uwezo wa kusema ukweli ni nini hasa kinachoendelea ili ajinasue kutoka wenye mtego uliomnasa.

Yanga, Coco Beach, Quality Group of Companies,siasa ama ni nini hasa!?
Serikali ni SIrikali haiwezi sema vyote ila manji kashikwa si vibaya lowasa na mtandao wake wakianza kufanya mazoezi Ya kulala keko. Magufuli is a no nonsense Man lowasa na sumaye waanze kujiandaa kulala rumande
 
wanataka kumfunga ili asiweze kugombea ubunge 2020..maana jimbo la Ilala ni ukawa na lazima ataingia tu huko
 
Serikali ni SIrikali haiwezi sema vyote ila manji kashikwa si vibaya lowasa na mtandao wake wakianza kufanya mazoezi Ya kulala keko. Magufuli is a no nonsense Man lowasa na sumaye waanze kujiandaa kulala rumande
Ccm wanafk sana nyiee

Ova
 
Atueleze sare za jeshi kazipata wap?
Manji hapo awali slikuwa na tenda jeshini ni tenda ambayo imehujumiwa na magufuli kaamua kuivunja kisha kuja na sinema hizo kwa hali ilivyokuwa sasa yawezekana ni kumkomoa na kumbambikia kesi lakini nadhani kikwete atamsimamia kwa dhati kwani Uonevu wa kiwango cha kutisha umesambaa sasa
 
Manji hapo awali slikuwa na tenda jeshini ni tenda ambayo imehujumiwa na magufuli kaamua kuivunja kisha kuja na sinema hizo kwa hali ilivyokuwa sasa yawezekana ni kumkomoa na kumbambikia kesi lakini nadhani kikwete atamsimamia kwa dhati kwani Uonevu wa kiwango cha kutisha umesambaa sasa
Inabdi jk aingilie kati maana ni balaa

Ova
 
Ni hivi Manji alikuwa supplier wa JWTZ wa vitambaa vya jeshi ktk kipindi kilichopita.. kama ujuavyo majeshi yetu mambo mengi hufanya wazabuni hata chakula hupika wasio wanajeshi yaan wazabuni... so Magufuli yy hataki hiyo biashara lkn kumbuka mzabuni ana mkataba wake hapo ndipo tatizo lilipo.. pia MANJI ndio SUPPLIER WA TRANSFORMA ZOTE KWA TANESCO hapo pia magufuli hataki lkn jamaa ana mikataba halali.. kwa kifupi DEREVA NI MASIKINI HIVYO HAPENDI MATAJIRI.......
ni kweli Manji alikuwa akifanya supplier hiyo na bado anawadai jwtz pesa nyingi magufuli kaamua kumkomoa makusudi nadhani wana ugonvi nae hasa kipindi cha kampeni manji hakumuunga mkono
 
Inabdi jk aingilie kati maana ni balaa

Ova
Magufuli ana kisasi na manji nadhani anatamani manji hata Afe kabsa ni hatari kuwa na Rais wa kupenda kuwakomoa watu kwa mambo yake binafsi kipindi cha nyuma
 
Kama haihusiani na treason, basi itakuwa ni dili alilozoea kupiga na wakubwa flani pengine ndani ya jeshi. Huo muhuri pengine wakiutumia kuchonga mibarua.

Wanasema alikutwa na muhuri wa jeshi isivyo halali. Sasa hapo ni sawa na kusema muhuri huo ulikuwa ni halali wa jeshi ila kakutwa nao yeye isivyo halali. Scenario kama hiyo, lazima kuna conspirators.

Scenario ya tofauti ni kama aliuchongesha huo muhuri yeye. Ila hapo lugha ilitakiwa waseme ametumia muhuri wa bandia. All in all, uwezekano ni mkubwa kuwa ameshirikiana na watop flani na siyo issue iliyoanza leo,maana hivyo vitambaa si alikuwa anawauzia jeshi? Pengine muhuri ukitumika wakati wa kuchonga barua ya maombi?

Inawezekana muhuri ulikuwa ukihusika na masuala ya "logistics" na "clearance" jule bandarini.

Si unafahamu mizigo ya jeshi huwa inapungiwa mkono tu na inapita au hufahamu hilo?

Halafu kumbuka hotuba ya kwanza ya waziri wa fedha alipozungumzia vyombo vya usalama na misamaha ya kodi kwa bidhaa zinazoingizwa nchini.

Unganisha dots hapo.
 
Magufuli ana kisasi na manji nadhani anatamani manji hata Afe kabsa ni hatari kuwa na Rais wa kupenda kuwakomoa watu kwa mambo yake binafsi kipindi cha nyuma

Mkuu, sidhani kama raisi John Magufuli anaweza kufanya hivyo unavyowaza.

Naona katika post zako mbili umeeleza kana kwamba unafahamu kinachoendelea.
 
Ni hivi Manji alikuwa supplier wa JWTZ wa vitambaa vya jeshi ktk kipindi kilichopita.. kama ujuavyo majeshi yetu mambo mengi hufanya wazabuni hata chakula hupika wasio wanajeshi yaan wazabuni... so Magufuli yy hataki hiyo biashara lkn kumbuka mzabuni ana mkataba wake hapo ndipo tatizo lilipo.. pia MANJI ndio SUPPLIER WA TRANSFORMA ZOTE KWA TANESCO hapo pia magufuli hataki lkn jamaa ana mikataba halali.. kwa kifupi DEREVA NI MASIKINI HIVYO HAPENDI MATAJIRI.......

Mkuu, hayo yooote uloyasema hayana ukweli wowote ule.

Manji hajawahi kuwa supplier wa vitambaa kwa JWTZ wala wa Transformer za Tanesco.

Pia Manji hana mikataba ya aina hiyo na taasisi hizo.
 
Back
Top Bottom