Manji sema usiposema...

Manji sema usiposema...

Mimi nikienda kwenye mtupa nikikuta nguo yoyote inafanana na ya jeshi huwa naikimbia.. sasa kuna mijitu mingine haijawahi hata kucheza mgambo,,, mingine misanii unakuta inabeba halafu inajiita kamanda.... sasa huyu aliyevunja rekodi kwa kukutwa na sare zote hizo za jeshi... ana lengo gani na usalama wa nchi yetu.....???

International supplier X is short circuited with local middleman Y, but delivery documents somehow remain as if X is still supplying. ..............................!

THIS CASE IS CLASSIFIED MATERIAL!
BUSARA ZITUMIKE, MAONYO YATOLEWE NA MAISHA YAENDELEE!
 
Kila MTU ana lake, mpaka sijajua kashitakiwa kwa kosa gani,na Yale makosa alioshitakiwa nayo nyuma yameishia wapi?
 
Jamaa anasafisha masaria ya mkwere na lowasa, ila sizani kama atayamaliza atastukia uchaguzi tu ushafika hivyo na kubakiwa na mbinu moja tu ya kupora ushindi ili aendelee kutawala.
Manji ni masalia ya Membe
 
Bakhressa Mo mengi jiandaeni kwa sirikali yetu ya North Korea inayotaka kila mwananchi awe maskini
 
Huyu akomeshwe alikuwa dhulumat sana paka huyu. Akikuwa na kampuni inautwa nexus pale quality centre yaani alifukuza wafanyakazi bila taarifa. Yaani watu wamefiKa ofcn wamekuta askari na wanaambiwa kazi basi kawalipa salary ya mwezi mmoja tena chini ya uangalizi wa polisi toka kituo cha chang'ombe.. Huyu mtu ni mshenzi.. Sasa aende keko watu wakamtoe bikira.. Kwanza nina hasira nahe sana huyu alimbandua demu wangu Sabrina
 
Manji anatia huruma aisee.

Na alivyo sleki mayai vile....hahahaha.

Hivi kafanya kosa gani kwanza?

Sio visasi na chuki?? Mud taongea! Acha apambane!! Wanajuana muda ukifika atasema yote!!! Ila ni mshirika Wao sana amewasaidi sana kama chama off koz na yeye amezipiga hasa ila wamemtumia sana pia!! Kama awamu hii hawamtaki si wamuache pembeni?? Kesi za uhujumu kumpoteza sio vizuri!!
 
Mkuu, hayo yooote uloyasema hayana ukweli wowote ule.

Manji hajawahi kuwa supplier wa vitambaa kwa JWTZ wala wa Transformer za Tanesco.

Pia Manji hana mikataba ya aina hiyo na taasisi hizo.
Unajua unachokipinga au unaropoka tu... huo ndio ukweli...
 
Angekuwa kuwa ni mlalahoi ndiye aliyekamatwa na uniforms za jeshi bado mngeona kaonewa au kwa sababu ni tajiri ndio mnaona kaonewa?!

Tuache tabia ya kuona jela ni za maskini tu!!
Wewe una uhakika amekamatwa na sare za jeshi? Au umewasahau polisi wa kibongo kwa kubambikia kesi wanazopenda? Na ikichangiwa na bifu na bashite na mkuu wa kaya, ni bahati yake kama hajapewa kesi ya ukamanda wa Kibiti.
 
Akidakwa lazima aumwe kwa sababu anaikosa ile chai yake na ile mtu anaeitumia akiikosa kwa masaa tu lazima bp ishuke kwa nguvu usiombe kupata side effect zake zinaua kabisa
 
Back
Top Bottom