ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Kabaki na mzigo wote huo kwa nini?Mm sishangai manji kukutwa na sare za jeshi yule ni mfanya biashara. Na tukumbuke serikali kila kazi zake zoote wanatangaza tenda bila mh. Magufuli kupiga marufuku inaa maaan sare zote zilikuwa zinashonwa na wazabuni mbalimbali so hawakutoa barua za kusitisha Zabuni walizozitangaza japo raisi alisema zifanywe na majeshi husika..hizo zilibaki tu labda hiyo mihuri ndo cjui..lkn ni kitu cha ajabu ht rim za karatasi ofisi za serikali mpk mzabuni alete kweli??hlf tunalalamika rushwa itaishaje
Alitaka atengeneze mazingira ya kupata tenda tena? Uhujumu huo
ndio unajutaaaa, maana Mwenye mbwa nanyetishwa kajiapiza sigisigi mpaka donge liwe nyakanyaka. Tumuombee