Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,784
Peleka huo ushaidi wako polisacha ujinga hujui manji anafadhili mambo ya kibiti na rufiji kwa mbaali.usidhani serikali haioni. Mbona watu wengi wanakamatwa kwa waizi kama wale wa escrow kwani wanatofauti gani na manji.