jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Kama haihusiani na treason, basi itakuwa ni dili alilozoea kupiga na wakubwa flani pengine ndani ya jeshi. Huo muhuri pengine wakiutumia kuchonga mibarua.Duh!
Kama ni kweli basi atakuwa ni bonge la zumbukuku.
Hajui kuwa sasa kuna sheriff mpya hapa mjini?
Wanasema alikutwa na muhuri wa jeshi isivyo halali. Sasa hapo ni sawa na kusema muhuri huo ulikuwa ni halali wa jeshi ila kakutwa nao yeye isivyo halali. Scenario kama hiyo, lazima kuna conspirators.
Scenario ya tofauti ni kama aliuchongesha huo muhuri yeye. Ila hapo lugha ilitakiwa waseme ametumia muhuri wa bandia. All in all, uwezekano ni mkubwa kuwa ameshirikiana na watop flani na siyo issue iliyoanza leo,maana hivyo vitambaa si alikuwa anawauzia jeshi? Pengine muhuri ukitumika wakati wa kuchonga barua ya maombi?