uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,703
- 37,939
= hasara
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Umemuonea bure,ni lafudhi na makabila...hayaendani au kuhusika ka shule...nazarau zote hizi unakuta una cheti feki....
= hasara
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ni mwarabu ama mhindiKwakweli akitoka kwenye hili bora arudi uarabuni maana sio kwa suluba hizi..![]()
![]()
Taratibu mkuu, kwan kabla ya JPM tenda za supply kwa majeshi zilikuwa zinapewa watu gani kabla ya ile presidential stop oder ?Kwa haya uliyoandika unastahili viboko..unaamin udaku half wanaokulinda wkt umelala unajamba ndio unawatuhum kwa uonevu..
Sent using Jamii Forums mobile app
nashauri wana wa MBAGALA ZAKIEM tafuteni diwani mpya ili ashughulikie matatizo yenu. mkimtegemea huyu itakula kwenu. tena msirudishe wa FISIEM badilisheni wekeni mtetezi kutoka upande uleee.Hachomoki as ni mambo ya kisasi kesi itapigwa tarehe tu mpaka umalize uchaguzi 2020 ndo kesi itaenda na atatoka.
Sababu kesi yake iko wazi kukamatwa na vitambaa vya sare za jeshi...inatakiwa ianze tu waletwe mashahidi lkn DPP atachelewesha makusudi
kumkomoa kwani mkuu anafurahi mambo kama haya.
Tuombee tu uzima na wabaya wake wapate ubinadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
akili zako ndo zimefikia hapo ulipokwamia.Sitokujaga kumwonea huruma yoyote aliyehusika kuwanyanyasa wanyonge
ulitegemea AKILIMALI atafanya nini kwenye hii kadhia ya MANJI. yeye hana lolote la kufanya zaidi ya kutegemea msaada kutoka kwa manji.Wanayanga wamemtupa kabisa hata Sanga na mzee Akilimali utadhani hawamjui
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi raia anajuaje kuna hela hazina imekaa? Shida tunaangalia tunapoangukia hatuangalii tulipojikwaa mfano mzuri kwa nini kwenye escrow viongozi wengi na wengine wastaafu wa serikalini ndio wanaopata mgao halafu mwisho ndio tuwalaumu wafanyabiasharaFala Sana wewe, wakati anaipiga serikali pesa, huduma kwa Wananchi zinakosekana, Mfano hospital, Baadhi wanakufa kwa kukosa dawa, alikua anachekelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ajiandae kwa mfululizo wa kesi zisizo na maana.Bongo haondoki, bongo patamu kama LA..,
Ufadhili ni kiinimacho tu hivi akipiga million 300 akatoa 20 kwa ccm bado haitoshi hata kodi stahikiAisee yaani hauamini kama huyu ndo alikuwa anaifadhili CCM.
Competitive life neither defeat nor win creative survival.Akitoka abadilishe mfumo mzima wa maisha yakeKwakweli akitoka kwenye hili bora arudi uarabuni maana sio kwa suluba hizi..![]()