VIDEO: Afariki dunia baada ya kugongwa Na lori lililo beba Ciment

VIDEO: Afariki dunia baada ya kugongwa Na lori lililo beba Ciment

kaisar19

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2021
Posts
261
Reaction score
465
Tukio hili limetokea Asubuhi ya leo majira ya saa 3 katika Barabara ya kutoka kongowe kuelekea Twangoma.
Ambambo lori lilifeli Breki likiwa kwenye mwendo kasi.





Dereva wa Bodaboda alifariki mara tu baada ya ajali, Mpaka muda huu abiria alie panda pikipiki hiyo nae ni majeruhi na yupo hospitali kwa sasa, Nayeye pia hali yake ni tete.!!
20260816_085720.jpg

Dereva wa lori hajulikani wapi alipo hadi sasa.
 
Aj
Tukio hili limetokea Asubuhi ya leo majira ya saa 3 katika Barabara ya kutoka kongowe kuelekea Twangoma.
Ambambo lori lilifeli Breki likiwa kwenye mwendo kasi.
View attachment 3651240
View attachment 3651235

View attachment 3651247
View attachment 3651247
Dereva wa Bodaboda alifariki mara tu baada ya ajali, Mpaka muda huu abiria alie panda pikipiki hiyo nae ni majeruhi na yupo hospitali kwa sasa, Nayeye pia hali yake ni tete.!!View attachment 3651244
Dereva wa lori hajulikani wapi alipo hadi sasa.
Ajali ni jambo gumu sana, ila bajaj na boda wengi ni watu wasioheshimu sheria za usalama barabarani kitu ambacho ni hatari kuwa kwa usalama wa matumizi ya barabara.
 
Hiyo Kilwa Road kuanzia hapo Kongowe kwenda Kisemvule ni njia ya Mauti kwa boda boda na waenda kwa miguu. Kila siku sio chini ya watu wawili wanakufa kwa kugongwa na mabasi ya mikoani au malori ya mchanga.
 
Back
Top Bottom