Nestory Semeni
Member
- Jul 8, 2024
- 13
- 21
Wanasema ukitaka kuficha kitu kwa mbongo ni weka kwenye maandishi,
Na kwamba kuna wengi wanatamani sana kuongeza maarifa ila kuna changamoto hizi wanapata,
- kukosa muda wa kusoma vitabu.
- lugha changamoto sio kwamba hawajui kizungu ila ni kwamba "hawatak suluba ya kubabaika kuelewa"
nina wazo hapa wewe useme kama litakuwa na msaada kwako,
Nalo ni hili kila wiki kupata maarifa na ufahamu mpya kutoka kwenye kitabu bila hata "kusoma kitabu".
Inafanyika hivi
Unakuwa kwenye kundi maalumu na humo kila siku unapata maarifa yote kwenye kitabu
Yaliyochujwa na kwenda kwenye point sio mlolongo ambao hauna maana
Na kila wiki kuna kuwa na saa moja la maswali na majibu kwa zoom au meet ya google,
Lakini haitakuwa bure 🤭.
Yani gharama itakuwa ndogo sana kuliko ile ya kitabu chenyewe
Na pia hata muda ambao ungeutumia kusoma kitabu
Zaidi ni kwamba "Ni mtu anasoma na kuandika vitu kwenye makundi kulingana na uhalisia Wa Tanzania"
Sio kueleza kile ambacho kinafanya kazi Ulaya na bongo kinafeli
Je hili litakusaidia kuhakikisha unalisha ubongo kila wiki? Toa maoni yako.
Na kwamba kuna wengi wanatamani sana kuongeza maarifa ila kuna changamoto hizi wanapata,
- kukosa muda wa kusoma vitabu.
- lugha changamoto sio kwamba hawajui kizungu ila ni kwamba "hawatak suluba ya kubabaika kuelewa"
nina wazo hapa wewe useme kama litakuwa na msaada kwako,
Nalo ni hili kila wiki kupata maarifa na ufahamu mpya kutoka kwenye kitabu bila hata "kusoma kitabu".
Inafanyika hivi
Unakuwa kwenye kundi maalumu na humo kila siku unapata maarifa yote kwenye kitabu
Yaliyochujwa na kwenda kwenye point sio mlolongo ambao hauna maana
Na kila wiki kuna kuwa na saa moja la maswali na majibu kwa zoom au meet ya google,
Lakini haitakuwa bure 🤭.
Yani gharama itakuwa ndogo sana kuliko ile ya kitabu chenyewe
Na pia hata muda ambao ungeutumia kusoma kitabu
Zaidi ni kwamba "Ni mtu anasoma na kuandika vitu kwenye makundi kulingana na uhalisia Wa Tanzania"
Sio kueleza kile ambacho kinafanya kazi Ulaya na bongo kinafeli
Je hili litakusaidia kuhakikisha unalisha ubongo kila wiki? Toa maoni yako.