Manji hali tete

Manji hali tete

NAONA MPANGO WA KUWABADILISHA MALAIKA KUWA MASHETANI UNATEKELEZWA

TUNASUBIRI FAIDA ya mpango huo.
 
Hachomoki as ni mambo ya kisasi kesi itapigwa tarehe tu mpaka umalize uchaguzi 2020 ndo kesi itaenda na atatoka.
Sababu kesi yake iko wazi kukamatwa na vitambaa vya sare za jeshi...inatakiwa ianze tu waletwe mashahidi lkn DPP atachelewesha makusudi
kumkomoa kwani mkuu anafurahi mambo kama haya.
Tuombee tu uzima na wabaya wake wapate ubinadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaoneka wew ndiye umeshika file lake kiupelelezi ndio maana unayajua yote hay
 
e136cb55dd8c7a8f23f9b4c9c9134553.jpg
Jela mbaya jamani manji kawa kama mzee

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Manji tatizo lake alianza kuifadhili na CHADEMA.

Hicho ndicho kilichomponza akaingia katika reli zao.

So sad.

Sent from my Kimulimuli
 
Kwakweli kila goti litapigwa I see... Manji wa kufikia hali hii???
4d427661624246aae35064daec7b9c2a.jpg


mzee mzima haishiwi maneno
 
Ukimuangalia manji wa enzi zile halafu ukamfananisha na huyu wa sasa hivi...tofauti utakayopata is direct proportional kwa roho mbaya ya mtu fudenge...sasa leo ni manji..who is next...tafakari......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipotajwa kwenye sakata la unga,ndio nilifahamu kuwa pesa na akili ni vitu viwili tofauti,jamaa aliropoka mambo ya hovyo bila kujua anajichoresha na kujianika,ilikuwa inatosha Kwa yeye kujikalia kimya kama mjinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh.. jinsi alivyo kwasasa unaweza kupishana nae njiani usimjue..
 
Ivi huko mahabusu hairubusiwi kunyoa ndevu ?

Hayo mambo ni kawaida katika maisha ya binadamu kuna wakati wa furaha na wakati wa huzuni.
Kuna siku yataisha.

Hebu mkumbusheni kunyoa ndevu, maan sura inatisha.
 
Ivi tutakuja kuingia mpirani bure tena ?

Sisi wa Soka tunamkumbuka manji.
 
Back
Top Bottom