likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,085
NAONA MPANGO WA KUWABADILISHA MALAIKA KUWA MASHETANI UNATEKELEZWA
TUNASUBIRI FAIDA ya mpango huo.
TUNASUBIRI FAIDA ya mpango huo.
kuanguka kwa manji haitakuwa hasara kumbwa kwake bali ni kwa uchumi wa tanzania.
Hivi unajuaga mimi huwaga nakupendaga sana?= hasara
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Inaoneka wew ndiye umeshika file lake kiupelelezi ndio maana unayajua yote hayHachomoki as ni mambo ya kisasi kesi itapigwa tarehe tu mpaka umalize uchaguzi 2020 ndo kesi itaenda na atatoka.
Sababu kesi yake iko wazi kukamatwa na vitambaa vya sare za jeshi...inatakiwa ianze tu waletwe mashahidi lkn DPP atachelewesha makusudi
kumkomoa kwani mkuu anafurahi mambo kama haya.
Tuombee tu uzima na wabaya wake wapate ubinadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kihere here na kuona pesa aliyo nayo ingemtetea.
magufuli aliuliza kuna mtu anamdai???hakuna aliyejitokeza.....Aisee yaani hauamini kama huyu ndo alikuwa anaifadhili CCM.
za mwaka au miezi miwili?aisee kumbe ana ndevu.daah
hihihihihi! We mjinga unahoja kali duh!Sasa hivi hizo huduma zinapatikana?
Na unauhakika gani na ulichokiandika?
Tukikuita unemployment ututhibitishie utaweza?
Jamaa nae alikuwa kiburi kwa ajili ya pesaSitokujaga kumwonea huruma yoyote aliyehusika kuwanyanyasa wanyonge
asante but kufika kunikosoa naamini ujumbe uliupata na diyo kusudio langu. kama usingenielewa usingenisahihisha. asante kifimbo cheza kwa kazi yako.
Noma noma noma noma!Etii kwamba huyu jamaa ndo alisema kuwa haongei na mbwa bali anaongea na mwenye mbwa aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ni nomaaaaaaa