Manji hali tete

Manji hali tete

na mimi sitamuunga mkono na kumuheshimu mtu yeyote anayewanyanyasa wale waliowanyanyasa wanyonge. kwani akiwamaliza matajiri atawaanza kunyanyasa wanyonge.
huyo magu. Fool hawanyanyasi matajiri tu mpaka masikini anawanyanyasa.

Wewe huoni kila siku watu wanalia nyumba zao kubomolewa hali ya kuwa hawana makazi na uwezo mwingine wa kujenga tena?
 
Fala Sana wewe, wakati anaipiga serikali pesa, huduma kwa Wananchi zinakosekana, Mfano hospital, Baadhi wanakufa kwa kukosa dawa, alikua anachekelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoita watu mafala hujioni wewe ni juha kabisa,hizo huduma unazosema za madawa umeishaenda hosp ukazikuta au kelele na uzwazwa,kigwangwala mkubwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliosaini mikataba ya madini na kushusha percentage ya mrahaba kutoka 4% mpaka 0% mpaka leo wapo wanadunda kitaa, tena wakituita sisi wengine wote malofa na wapumbavu. Ule nao ni uhujumu uchumi tu, kuliko hata kukutwa na majora ya sare za jeshi. This World is not fair
 
duuuh wewe mwana Mama feiza sikuelewagi kama vile muda wote unastresss upo kisharishari yani mtu kukosea speling tu wewe unatusi elimu yake duu!!!.
= hasara

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Etii kwamba huyu jamaa ndo alisema kuwa haongei na mbwa bali anaongea na mwenye mbwa aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ni nomaaaaaaa

Acha kujiona mjuaji

Kama hasala=hasara basi inamaanisha aliye andika hasara ni sawa na aliye andika hasala kwa hiyo wewe hapo ndio umeonekana mjinga kuliko huyo uliyemuita mjinga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hachomoki as ni mambo ya kisasi kesi itapigwa tarehe tu mpaka umalize uchaguzi 2020 ndo kesi itaenda na atatoka.
Sababu kesi yake iko wazi kukamatwa na vitambaa vya sare za jeshi...inatakiwa ianze tu waletwe mashahidi lkn DPP atachelewesha makusudi
kumkomoa kwani mkuu anafurahi mambo kama haya.
Tuombee tu uzima na wabaya wake wapate ubinadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambieni Mkuu wenu Mwosha huoshwa. It is not the end of the world yet for Manji. Keep it a little bit longer .Freedom will always come. May Allah (SWT) bless U

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom