he looks like co look like vp ulisoma PCM niniHe look like Ben Affleck..😉
he looks like co look like vp ulisoma PCM niniHe look like Ben Affleck..😉
Kazi ipoNamuonea roho ya imani maskini
Akichomoka hapa awe mtulivu sana akishindwa aende zake ughaibuni tu, hakuna namna nyingine
hata kama ni kupambana na hali yako siyo kwa staili hii
Una hasira kuona muislam mwenzako anavyosulubishwa ha ha pole sana,unaogopa kujikita kwenye madawa tusikuvae,,,,anyway sikupati hizi umepoteza kale ka influence kakoTazama ulivyo punguani, ni wapi nimemuita huyo "mjinga"?
Hata unachokisoma hukielewi.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
duuuh wewe mwana Mama feiza sikuelewagi kama vile muda wote unastresss upo kisharishari yani mtu kukosea speling tu wewe unatusi elimu yake duu!!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanyonge walio nyanyaswa na manji ni kina nani
huwajui wahindi wewe..idd amin hakuwa mwehu,wanyanyasaji wazuri sana hao..inadaiwa ndugu alikua jeuri sana enzi za jk,dharau sana mawaziri,labda wanamuonesha thamani ya mtu mweusiHakuna msukuma mwenye roho au chuki kiwango cha phd kama hiki huyu sio msukuma. Wasukuma wakarimu watu wa kusamehe wenye kuamini na kuaminika ndoho tabhu ndo kauri yetu ila huyo sio msukuma walahi kwani hana hayo machache niliyoyasema
Shida mtu anatumia muda sana kuelewa ujumbe wako...hapa hata kuandika balaa.....na umerudia tena halafu unajifanya kauzu....asante but kufika kunikosoa naamini ujumbe uliupata na diyo kusudio langu. kama usingenielewa usingenisahihisha. asante kifimbo cheza kwa kazi yako.
Hili tatizo halisababishwi na shule bali lugha mama, so hata shuleni walimu wanapambana kweli kweli, shida ni kwamba kutamka atasema R kuandika ataandika L.= hasara
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwa haya uliyoandika unastahili viboko..unaamin udaku half wanaokulinda wkt umelala unajamba ndio unawatuhum kwa uonevu..Wacha tu, I'm not in favour of the crime committed but I can't believe kama aliiba ile mihuri bila ridhaa kama media zilivowasilisha kukamatwa!
Let's wait and watch the drama!
Sent using Jamii Forums mobile app
roho ya wanini inaongozwa na chuki,hakuna mahali umeonyesha unyanyasaji wa huyu mtu mambo ya amin we ulishuhudia unaushuhuda kuwa amini hakuwa na roho mbaya kwa hawa watuhuwajui wahindi wewe..idd amin hakuwa mwehu,wanyanyasaji wazuri sana hao..inadaiwa ndugu alikua jeuri sana enzi za jk,dharau sana mawaziri,labda wanamuonesha thamani ya mtu mweusi
Rafik yako akikushawish mkaibe ukikamatwa rafik yako akakimbia utamlaumu kwa kukushawish mkaibe??? wew ndio mpumbav kuliko hata aliyekushawishi..unastahili adhabu mara mbili..n be careful God does nit stand wth thieves..Dah inauma sana deal wampe wenyewe then wame mchenchia kama hawamfaham God is never dead he is watching on them aisee this is too much
Sent using Jamii Forums mobile app
Nnaona unajitahid kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.Una hasira kuona muislam mwenzako anavyosulubishwa ha ha pole sana,unaogopa kujikita kwenye madawa tusikuvae,,,,anyway sikupati hizi umepoteza kale ka influence kako
Sent using Jamii Forums mobile app
AhahahahahaSikujua kama Manji handsome. Yaani sasa ndio anaonekana kama mwanaume.