Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Bila ze comedy na diamond Kikwete atakosa watu wa kuja kumsikiliza.
Na mkurugenzi naye na timu yake wanatafuta namna ya kuishi mjini kupitia ujio wa raisi hapo Arusha.
Shilingi 120 milioni zote kwa matumizi/kazi gani?
Na mkurugenzi naye na timu yake wanatafuta namna ya kuishi mjini kupitia ujio wa raisi hapo Arusha.
Shilingi 120 milioni zote kwa matumizi/kazi gani?