Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Kesho Arusha itazinduliwa rasmi na Rais wa JMT JK kuwa Jiji.Sherehe zitakazofanyika kwenye eneo la Mnara wa mwenge,na baadae Rais atazungumza na wananchi w Arusha kwenye uwanja wa mpira wa Sheih Amri Abeid.
Kutokana na hali ya kisiasa Arusha kuwa tata,Halimashauri imeidhinisha 15mil kwa ajili ya kundi la sanaa la Original comedy,na 10mil kwa ajili ya msanii Diamond,katika kikao cha madiwani jana kulikuwa na ubishi mkali,kati ya madiwani wa ccm na wale wa CHADEMA.
Mtoa habari wangu alisema kuwa CHADEMA wanapinga matumizi makubwa kwa jambo la muda mchache wakati kuna shule hazina vyoo,na huduma nyingine ni mbaya.Jumla ya gharama zote za kuzindua JIJI ni zaidi ya 120mil,ikiwa ni pamoja na chakula cha mchana kwa mh Rais na ujumbe wake,kinachotarijiwa kuwa 20mil.
Mmoja wa madiwani wa CHADEMA Nanyaro alitoka nje ya kikao kwa madai kuwa hawezi kuwa sehemu ya maamuzi ya kifisadi
tutolee habari zako ambazo hazina ata,chembe ya,ukweli apa,mpuuxi we