idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,300
- 38,450
sidhani. mbona kabla mbunge alikuwa rita mlaki?
Ni aibu mimi ni mkazi wa Oysterbay jijini Dar es Salaam, na Mdee ndiye Mbunge wangu sasa siku akisema anataka kuongea na wazee wa jimbo lake mimi ntafanyaje? siwezi kwenda nitasingizia naumwa ili nisiende," alisema.
mkuu hoja yangu ipo hapo, akiangalia utaona hajatumia neno upinzani ambalo lingeleta maana zaidi kuwa yupo kisiasa lakini yeye ni kama amemsema Mdee binafsi.