Je siku CDM ikishika dola na CCM kuwa chama cha upinzani huyu mzee atakufa kwa kihoro!
Hivi ile miezi 6 aliyotoa kwa wana-CCM waliopata uongozi kwa rushwa bado haijaisha!
Mangula bwana yaani baada ya kumaliza honey moon umeona hiyo single ndiyo ya kuwatumbuiza Watanzania!
Hivi ile miezi 6 aliyotoa kwa wana-CCM waliopata uongozi kwa rushwa bado haijaisha!
Mangula bwana yaani baada ya kumaliza honey moon umeona hiyo single ndiyo ya kuwatumbuiza Watanzania!