Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,571
Kwani waliotumia Rushwa kupata madaraka ndani ya chama chake Wameshafukuzwa!?au miezi 6 bado?
hahahaha,bado mdau ndo kwanza tupo ndani ya cku 90 za mafisadi papa
Kwani waliotumia Rushwa kupata madaraka ndani ya chama chake Wameshafukuzwa!?au miezi 6 bado?
Siyo Mangula tu, Hadi Mzee Mwinyi, Mzee Warioba, JK akistaafu, Majaji na Mawaziri karibu wote wako jimbo la Kawe kwa hiyo asione tatizo na amheshimu mbunge wake.
Ungefanya utafiti kidogo ungejua kuwa jimbo la kawe halitakuwa chini ya chadema tena kwa sasa mdee kachuja sana hana uwezo wa kuutisha hata mkutano wa hadhara akapata watu.
hilo ndio la Msingi
na sio kutengeneza propaganda ambazo zinaweza kumwathiri hata yule raia wa kawaida kisa ni itikadi za vyama fulani, na kusahau maendeleo ya jimbo husika.
Ni ufinyu wa fikra alionao, kama anakili ahame hilo jimbo arudi kwao
utaijua ikifika huo wakati ndy utajua kama inakufa au iko haiChadema ipi hiyo?? Hii inayokufa kufa au nyngne??
utaijua ikifika huo wakati ndy utajua kama inakufa au iko hai
Ungefanya utafiti kidogo ungejua kuwa jimbo la kawe halitakuwa chini ya chadema tena kwa sasa mdee kachuja sana hana uwezo wa kuutisha hata mkutano wa hadhara akapata watu.