Nilikwenda kufuatilia kampuni ya Kagoda wakati wa sakata la EPA nikakuta hata kiwanja walichoandika kuwa ndipo yalipo makao ya hiyo kampuni ilikuwa uongo. It was a ghost company. Unawaamini sana BRELA eeh?Gagnija ,Kama unataka mmliki wa PUMA nenda BRELA ,its very simple to countercheck,lakini kama wewe siyo mvivu.
aaah kuwa serikalini siku hizi si kitu mbona una mawzo mgando hivi au unatumia u masaburi kufikiri?serikali ipo uchi haiwezi kufanya ki2, huoni walivyoumbuka kwa ULIMBOKA.NA SASA MGOMO WA WALIMU,ANYWAY PENYE UKWELI UONGO HUJITENGA WATANZANIA TUSIWE WEPES WA KU JUDGE TUSUBIRI UKWELI UTAONEKANA,C TUME ZIMEUNDWA TENA BUNGENI,LET S WAITdogo kakosea tena
yeye ni chembe tu... akina maswi wako na serikali... haijawahi tokea an individual kupambana na serikali na kushindwa, hasa mtu mwenyewe akiwa na ego na pia akiwa a lone ranger, no matter how good he/she is
ZZK kuna sehemu kateleza, badala ya kuiangalia, yuko bize kupambana na utelezi na kulaumu mvua
RETREAT IS THE BEST THING FOR NOW
Wote unaowasema hawawezi kupata kura hata mia za URAIS kwa nchi nzima. Labda kama watagombea URAHISI.Na akipata urais tukimbilie Somalia wote otherwise tutamkoma kwa sasa Ana edit enemy list Yake pfuuuuu Mimi naanza kufunga virago naenda uhamishoni na nyie mjiandae membe asipowahamishia Kenya basi zito anawahamishia Somalia
povu la sabuni,ila sijui umeliona wapi???masaburi yule kaka yako au??mamajack povu la nini?.soma gazeti au unaishia kusoma jf tu bila kutafuta vyanzo vingine?.tafadhali ongeza kufikri kama hata unafanya challange kwa mdau la sivyo unaweza fananishwa na masaburi.
Lifestyle yake imetiliwa mashaka muda mrefu na kuna jambo ambalo halijawa wazi mpaka sasa.Put yourself in ZZK shoes. Kama unauhakika kuwa hujachukua pesa alafu mtu anakupakazia uongo mkubwa kama hivi utatumia lugha gani kufikisha ujumbe wako. Mimi hapa sioni tatizo as long as hajachukua hiyo pesa. Maneno ya mheshimiwa mheshimiwa ndo yanatufanya kuwa na nidhamu wa woga.