Maneno ya Ujumbe wa Mh. Zitto kwa Viongozi Maswi na Prof. Muhongo hauna maadili ya Uongozi!

Hiyo ndio lugha inayofaa, hii kupakana mafuta wakati wanakuangamiza si sawa. Maana waswahili wanasema akumulikae mchana usiku atakuunguza. Shida tulionayo ni kuwa kila ujumbe tunausoma kimtazamo, nadhani bunge limetuharibu kabisa. Hata neno la kawaida tunaomba mwongozo kuwa ni lugha ya kuudhi.
 
Katika Gazeti la leo la Majira kuna ujmbe unaodaiwa kuandikwa na Mh.ZZK kwenda kwaKatibu Mkuu wa Nishati na Waziri Mhusika wa Wizara Bw. Maswi na Prof.Muhongo. Naomba kuunukuu " Bw. Maswi alitumiwa na Bw. Zitto, unasomeka hivi; "Maswi, sijawahi gombana na wewe kwa kuwa nakuheshimu sana, tuhuma ambazo wewe na Waziri wako mnatoa dhidi yangu ni uwongo, uzushi na za kupikwa.
Mwambie Waziri wako na wewe binafsi, sijawahi kushindwa vita ya kulinda credibility yangu, sipendi ujinga hata kidogo, mimi nina uhuru wa kusema ninachoamini, sina bei tupambane tu tuone nani ataumia," ujumbe huo unasomeka hivyo".

Hebu tuchambue busara ya kiongozi iko wapi katika maandishi hayo katika mizani za kawaida pasipo ushabiki?.Naamini kama ZZK amepata washauri wake pengine ni SHETANI pasipo shaka.

Unatakiwa ujiulize ni aina gani ya mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea kabla ya zitto kutoa maneno hayo.Una uhakika na matamshi ya Maswi ktk mazungumzo yao?Jiulize kama zitto alitoa matamshi hayo bila mazingira ya mawasiliano yao kumlazimisha?Mwandishi alipaswa kutoa kila kitu ktk mawasiliano hayo na si kama alivyofanya.Na hatuna uhakika wa habari hii kama ni ya kweli au ya uzushi.
 
naambiwa hapa kuwa zzk yupo close sana na jack zoka, pia aningia ikulu muda wowote anaotaka kuonana na jk hata ccm wenyewe hawapo huru na jk kama alivyo zzk: kwa hiyo hata yanayompata sasa kwa chama chake kutomuamini anajitakia mwenyewe!
ANYWAY; VIPI LEO ALISEMA ANGEITISHA PRESS CONFERENCE SA 5 ASBH VIPI ALIITISHA? kwa mwenye taarifa plz
 
Put yourself in ZZK shoes. Kama unauhakika kuwa hujachukua pesa alafu mtu anakupakazia uongo mkubwa kama hivi utatumia lugha gani kufikisha ujumbe wako. Mimi hapa sioni tatizo as long as hajachukua hiyo pesa. Maneno ya mheshimiwa mheshimiwa ndo yanatufanya kuwa na nidhamu wa woga.
kama umesoma kwa makini utagundua ya kuwa
hiyo sms inaweza kumletea madhara zitto kama huyo bwana akipatwa na lolote na huo utakuwa ushahidi tosha kumhusisha. Jaribu kutafakari
 
Majority tunamwamini sana Zitto and we real respect him coz kuna mambo mengi sana ambayo previous yalikuwa hidden ambayo yanamadhara makubwa sana na incase yasingegundurika hadi sasa taifa letu lingekuwa taabani mfano issue ya Richmond nanyinginezo na ameshauri mambo mengi kwa faida ya taifa mfano kwenye uwekezaji na mengineyo.

SASA kilicho tokea kiukweli mimi bado sijaona sababu ya kumuandama Zitto kwa sasa kwani kumbuka huyu Zitto most of the ministers tend to fear to him then kuna external forces ambayo inafanyika kuweza kuifanya 2015 kuwa tofauti na vijana wengi tunavyo expect BUT lastly namshauri brother Zitto jipange as soon as possible TUELEWESHE kilichotokea coz tupo tayali KUKUSIKILIZA.
 
Tuupe muda ujauzito huu, in 9 months tutajua ni beb girl or beb boy. Just give time, watajisema tu
 
Muda si mrefu huyu Muhongo ataumbuka kwa kulidanganya bunge. Anasema TANESCO wana hela ya ziada hata baada ya kulipia gharama zao wakati pesa wanayolipia umeme hawa kina Symbion na capacity charges zinamaliza mapato yote ya TANESCO kabla hawajalipa hata mishahara.Tuelezwa mmiliki wa PUMA ni nani!

PUMA ni semi-government owned, ni former BP company... ila to be honest kama maneno ya Zitto ni kweli basi yamekuwa ni makali kweli, hata hivyo naona ilikuwa ni personal sms na jamaa wake Maswi - kivyao vyao
 
PUMA ni semi-government owned, ni former BP company... ila to be honest kama maneno ya Zitto ni kweli basi yamekuwa ni makali kweli, hata hivyo naona ilikuwa ni personal sms na jamaa wake Maswi - kivyao vyao
We were told the same on MEREMETA only to discover later that the company was owned by the Chenges.
 
Kama hahusiki au anahusika kwa kashfa kubwa lazima upanic,ni wakati mgumu kwake,tumuombee maana bado tunathamini mchango wake kama mbunge!
 
Hebu let be back kidogo tupata mfano mmoja unaoendana na hizi tuhuma za Zitto,several months past kulikuwa na mwandishi wa habari wa TY channel moja hapa TZ for sure wengi tulikuwa na bado tunamwamini kwa kuwafichua TRAFICS wapokea rusha akiwa na ushahidi wa photoz wengi tukawa tunampongeza hasa kwenye swala zima la evidence,

BUT tunakumbuka sote siku ambayo yule bwana alivyotuhumiwa kuwa amepokea rushwa kwa mazingira na maneno which waz not reality then KESI ikafikishwa mahakamani yule mwandishi akashinda ile KESI ukweli ukajulika HIVYO so u have to kno if ur in war if u FIGHT then ur opponent also tends to FIGHT.
 
Put yourself in ZZK shoes. Kama unauhakika kuwa hujachukua pesa alafu mtu anakupakazia uongo mkubwa kama hivi utatumia lugha gani kufikisha ujumbe wako. Mimi hapa sioni tatizo as long as hajachukua hiyo pesa. Maneno ya mheshimiwa mheshimiwa ndo yanatufanya kuwa na nidhamu wa woga.

Ustaarabu wa Zitto upo wapi? Yaani anatumia vitisho? Huyu jamaa hatufai kabisa

Bora hata angeenda mahakamani kama anaona ameonewa kuchafuliwa jina.

Zitto mla rushwa halafu hata hakujipanga jinsi ya kujitetea iwapo ishu itasanuka
 
Katika zama hizi mabazo kuna SMS za kuchonga, kuna aliyethibitisha hiyo SMS ni ya Zitto?

Kama ni kweli ya Zitto, basi President Candidate ana haja ya kujifunza Diplomasia na Leadership Communicatins wakati wa Crisis. Not a bad idea to borro a leaft from Koffi Anan . . .
 
Put yourself in ZZK shoes. Kama unauhakika kuwa hujachukua pesa alafu mtu anakupakazia uongo mkubwa kama hivi utatumia lugha gani kufikisha ujumbe wako. Mimi hapa sioni tatizo as long as hajachukua hiyo pesa. Maneno ya mheshimiwa mheshimiwa ndo yanatufanya kuwa na nidhamu wa woga.

People were expecting something better than this from him it seems...................even I and myself were expecting more dense of a content than this one.......vitisho like na kujimwambafy flan hivi......si uungwana asilani

I always say haya majina ya muheshimiwa sijui nini na nini si sawa kuyatumia haswa kwa nchi kama hii yetu ambayo uheshimiwa wa wengi ni wa kutafuta kwa tochi mchana kweupe..... imagine wenyewe wanaitana kwa majina kama hivi (kama kweli hiyo msg ipo) ila kwa sie eti mpaka diwani aitwe muheshimiwa.......!!!!!!!!!!!!!!!

My logic is that cheo ni dhamana tu na hakimfanyi mtu kuwa muheshimiwa.....heshima haiji kwa kuchaguliwa au kuteuliwa...be my guest in this and we shall see and hear soon a lot than what our senses can detect
 
Ustaarabu wa Zitto upo wapi? Yaani anatumia vitisho? Huyu jamaa hatufai kabisa

Bora hata angeenda mahakamani kama anaona ameonewa kuchafuliwa jina.

Zitto mla rushwa halafu hata hakujipanga jinsi ya kujitetea iwapo ishu itasanuka

Kaka nikikuambia rushwa aliyokula ni kiasi gani hata ujui au renji linawatoa udenda? huku mkisahau kuwa katumikia bunge muda gani.shame on ya all who hating zzk nyie ni vibaraka wa nape tumewasoma eti mnasahau mabaya ya wana sisiem kwa kukomalia mtaka urais hata mimi nikiutaka mtanizushia mambo ingawa hamnijui
 
Back
Top Bottom