Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,295
Habari za Mida hii Wana Jamii Forum
Declaration of Interest
Katika Pita pita Zangu Mitandaoni nikakutana na Video Clip akiwa na mazungumzo Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu.
Katika Mahojiano yale marefu yanayochukua muda takriban saa moja na Robo nimesikiliza kwa makini neno kwa neno.
Nakiri kusema kuwa Mh Tundu Lissu anamambo mengi ktk kichwa chake ambacho Dunia inahitaji kufahamu.
Huyu Mwamba ni msema kweli, na ukweli anausema na unamweka huru.
Tundu Lissu ana sifa moja tu. Anapozungumzia swala la watu na haki zao hana ile sensationalism ya kinafiki.
Ameorodhesha mambo mazito ambayo sijawahi kuyasikia wala kuyasoma zaidi ya Kudodosa tu.
Ktk kuujua ukweli wa Nchi Takatifu ya Kaanani na Middle East kwa Ujumla nilijipa muda wa kusoma, kutafiti na hadi kutembelea Middle East miaka mitatu iliyopita
Nimesoma vitabu vya Bibilia kama
-Mwanzo
-Hesabu
-Waamuzi
-Samweli wa kwanza
-Samweli wa pili
-Wafalme wa Kwanza
-Wafalme wa Pili
-Mambo ya Nyakati wa kwanza na wa Pili
Nimesoma pia
Vitabu vya Unabii na Ufunuo kama
Yeremia, Daniel, Ufunuo, Nehemia, Ezra, Esta n.k
Kupitia vitabu hivi nimezijua siri nyingi za Mafanikio ktk Maisha kwa level ya Mtu, familia na Taifa.
Nimejifunza siri nyingi kuhusiana na habari za Waisraeli na Warabu na Dunia ya Kale baada ya Uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
Zaidi ya Hapo nimetembelea kwa Undani Mji wa Yerusalem maeneo mbali mbali ikiwemo pia Tel Aviv.
Nimefika King David Hotel, pia Ubalozi wa Marekani pale Mtaa wa Mamilla.
Nimefika pia Old Jerusalem City( Part of Western Bank), Bethrehem na Kusini mwa Jerusalem karibu na Gaza (Ashkelon).
Kwa kutaka kujua zaidi nimefika Church of Sculpture(nitakuja na simulizi yake siku nyingine)
Nimefika Eneo la Hekalu la Suleiman na viunga vyake yaani four Quaters kwenye Mlima Wa Mungu kwa Wayebusi wa Arauna.
Pale kwa leo panaitwa Al- Aqsa Mosque. Nimezungumza na Wakazi wa hapo kwa kina wakiwemo maaskari wa Kipalestina wakiwa Lindo na kudhibiti Usalama pale.
Nimeongea kwa undani na Tour Guiders wa pale Jerusalem kuhusu historia halisi.
Baada ya hayo yoote na kiri kusema bado sana kuna mengi nilikuwa siyajui.
Hotuba na Mazunguzo ya Tundu Lissu ameibu SIRI nzito ambayo Dunia imefichwa kwa milenia nyingi.
Tundu Lissu aidha ni Nabii au Kiumbe cha ajabu kutoka sehemu fulani lakini sio Duniani.
Nimejazilizia ufahamu wangu kuhusu Mungu, Israeli, Kaanani, Palestina na Dunia kwa ujumla.
Natoa wito kila mpenzi wa kuongeza ujuzi maarifa asikilize kwa umakini Mazumzo hayo.
Ubora wa Mazungumzo ya Lissu haangalii Dini ya Mtu wala hajali wewe utajisikiaje.
Anaongea ukweli kama Ulivyo 100%
View: https://youtu.be/uuCyN8MHBn8?si=HvkZSGykO8xKgtrj
Declaration of Interest
- Mimi ni Mkristo Mkatoliki
- Nimetembelea Nchi ya Israel ktk majimbo ya Jerusalem, Galilaya na Samaria
- Ni Mfuasi wa siasa za kutetea haki, amani na Maendeleo jumuishi
Katika Pita pita Zangu Mitandaoni nikakutana na Video Clip akiwa na mazungumzo Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu.
Katika Mahojiano yale marefu yanayochukua muda takriban saa moja na Robo nimesikiliza kwa makini neno kwa neno.
Nakiri kusema kuwa Mh Tundu Lissu anamambo mengi ktk kichwa chake ambacho Dunia inahitaji kufahamu.
Huyu Mwamba ni msema kweli, na ukweli anausema na unamweka huru.
Tundu Lissu ana sifa moja tu. Anapozungumzia swala la watu na haki zao hana ile sensationalism ya kinafiki.
Ameorodhesha mambo mazito ambayo sijawahi kuyasikia wala kuyasoma zaidi ya Kudodosa tu.
Ktk kuujua ukweli wa Nchi Takatifu ya Kaanani na Middle East kwa Ujumla nilijipa muda wa kusoma, kutafiti na hadi kutembelea Middle East miaka mitatu iliyopita
Nimesoma vitabu vya Bibilia kama
-Mwanzo
-Hesabu
-Waamuzi
-Samweli wa kwanza
-Samweli wa pili
-Wafalme wa Kwanza
-Wafalme wa Pili
-Mambo ya Nyakati wa kwanza na wa Pili
Nimesoma pia
Vitabu vya Unabii na Ufunuo kama
Yeremia, Daniel, Ufunuo, Nehemia, Ezra, Esta n.k
Kupitia vitabu hivi nimezijua siri nyingi za Mafanikio ktk Maisha kwa level ya Mtu, familia na Taifa.
Nimejifunza siri nyingi kuhusiana na habari za Waisraeli na Warabu na Dunia ya Kale baada ya Uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
Zaidi ya Hapo nimetembelea kwa Undani Mji wa Yerusalem maeneo mbali mbali ikiwemo pia Tel Aviv.
Nimefika King David Hotel, pia Ubalozi wa Marekani pale Mtaa wa Mamilla.
Nimefika pia Old Jerusalem City( Part of Western Bank), Bethrehem na Kusini mwa Jerusalem karibu na Gaza (Ashkelon).
Kwa kutaka kujua zaidi nimefika Church of Sculpture(nitakuja na simulizi yake siku nyingine)
Nimefika Eneo la Hekalu la Suleiman na viunga vyake yaani four Quaters kwenye Mlima Wa Mungu kwa Wayebusi wa Arauna.
Pale kwa leo panaitwa Al- Aqsa Mosque. Nimezungumza na Wakazi wa hapo kwa kina wakiwemo maaskari wa Kipalestina wakiwa Lindo na kudhibiti Usalama pale.
Nimeongea kwa undani na Tour Guiders wa pale Jerusalem kuhusu historia halisi.
Baada ya hayo yoote na kiri kusema bado sana kuna mengi nilikuwa siyajui.
Hotuba na Mazunguzo ya Tundu Lissu ameibu SIRI nzito ambayo Dunia imefichwa kwa milenia nyingi.
Tundu Lissu aidha ni Nabii au Kiumbe cha ajabu kutoka sehemu fulani lakini sio Duniani.
Nimejazilizia ufahamu wangu kuhusu Mungu, Israeli, Kaanani, Palestina na Dunia kwa ujumla.
Natoa wito kila mpenzi wa kuongeza ujuzi maarifa asikilize kwa umakini Mazumzo hayo.
Ubora wa Mazungumzo ya Lissu haangalii Dini ya Mtu wala hajali wewe utajisikiaje.
Anaongea ukweli kama Ulivyo 100%
View: https://youtu.be/uuCyN8MHBn8?si=HvkZSGykO8xKgtrj