Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
English please.
Before you get pinched.
¿que paso? ¡No ingles!
English please.
Before you get pinched.
Ninachelea kusema kwamba,kama jamaa nae ana tatizo la uzazi na haya ndo unayoyaeleza,basi kuna ukweli ambao hujaueleza na hautakaa uueleze hadharani....
Ninachokiona ni wewe kutaka kusikia unachokipenda,unataka kuambiwa kile unachowaza ili kupata uhalali...
Kwa sababu kwa wanaume wote ambao wanajijua wana matatizo hayo na wenzi wao wana matatizo hayo,wamekuwa ni waaminifu +100%,nakuwa nao bega kwa bega katika ndoa zao kabla hawajaumizwa..
Hakuna furaha au raha inayokuja baada yakutenda mabaya kwa mtu mwingine,hata ukizunguka nakuwa single..kama ulishawahi kumuumiza mtu au huyo jamaa sahau kuhusu furaha au raha unayoitaka..
Ukweli wa mambo unaujua wewe kwa kiwango chote,angalia ulipoharibu kisha uparekebishe ndipo uendelee mbele..
Thanks the big house!!
Ewaaa mkuu umenena
Hii avatar yako ole wako nikose usingizi...
😀😀😀😀😀😀😀😀 uwezi kosa usingzi tena ukilala basi niote ndotoni
Mhhh nikishasikiaga mwanaume Malaya nanyongonyeeea kabisa nashindwa hata kuongea, ushauri wangu kwanza kapime afya yako yaani damu kubwa ukijikuta mzima basi bora ukavunje ndoa uwangalie maisha mengine kabla hujapoteza nguvu zako nyingi kwahiyo mtu pia ukikuta keshakuletea maambukizi mkimbie pia maana atakusababishia ufe mapema, nimekwambia hivyo kwasababu wanaume kama hao hawatumiagi kinga wakikutana na michepuko kwavile wanatafuta watoto anatamani apate hata mimba yakusingiziwa Matokeo yake nikuishia kwenye maambukizi ya vvu kaa chonjo chukua hata haraka, swala la wewe kutokupata mtoto ndio lakuangaikia sio kuangaika nahuyo mumeo pia stress ni tatizo kubwa lakuzuia mimba majibu ya dktr yasikuogopeshe jipange anza mfumo upya wa maisha yako usiriski uhai wako kwaajili yamtu asiye na utu eshimu uhai Mungu aliokupa nanafasi yako yakuishi nitumie vizuri
Usiondoke na wala usikasirike.Piga magoti kwa mungu kwa sababu huyo ni mumeo.Kama vp ni pm nikuelekeze kwa mtumishi akuombee.wengi wamepona!if you believe God!Ukisoma bible utaona wale tasa walipata watoto,why u?NAONA MUNGU ANAENDA KUYATOA MAUMIVU YAKO,WEWE NI MAMA!LAZIMA UWE MAMA KWA JINA LA YESU.YESU ALISEMA MKINIOMBA LOLOTE KWA JINA LANGU NITALIFANYA.KUMBUKA KUWA LISILOWEZEKANA KWA BINADAMU,KW MUNGU LINAWEZEKANA.MSAMEHE MUMEO,MLILIE MUNGU!
Kwanza kwa tatizo lako la polycystic ovarian syndromes nadhani ungefatilia zaidi nadhani huenda utanikiwa kupata mtoto... Nasema hivo kwasababu mke wangu mm anatatizo kama lako, alikua mnyonge sana ila tulienda kumuona daktari wa kina mama... Baada ya miezi mitatu alipata ujauzito. Na sasa anakaribia kujifungua.. Hivi nadhani wewe na mumeo mungeenda kuwaona madaktari Wa uzazi.. Maaana pia zipo dawa zinazotumika kuengeza uzalishaji wa sperms kwa mwanaume
Kuna vitu vya kumuomba Mungu. Hili la huyu Nacherewa Mungu alishalijibu zamani kwani ameweza kumuonyesha tabia kamili ya mume wake na lililobaki hapo ni kuchukuwa hatua. Tunatakiwa kuwa na maarifa Mungu ametupa akili... hakuna sababu ya kung'ang'ana na mume mzinzi. Wanawake wengi wamekuwa wanyonge kwa kunyanyasika na kuendelea kuvumilia mateso hata pale penye uwezo wa kutoka na kuishi kwa furaha na ndio maana makanisa yanajaa wanawake wanaolia kila siku kwa mambo ambayo hawakupaswa kuyalilia na matokeo yake huambulia kufa kwa magonjwa ya kuambukizwa na hao wanaume waliokuwa wakiwalilia usiku kucha. Wengine huwa wanafikia hatua ya kuwaombea hao wanaume wafe ili wawaache wajane! Wanawake zindukeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii looool
Asante kwa ushauri, ninatibiwa kwa specialist , daktari anasema hili tatizo linatibika na ninaendelea kutumia dawa za hospital, ila na yeye anatakiwa atumia dawa na vyakula vya kuongeza sperm. Ila kwa stress hizi ni ngumu kupata mtoto na tendo lenyewe la ndoa ni mara chache mtoto atapatikana vipi.
Aisee, yaani mara mbili kwa wiki kipindi hiki kibaya. Je mkiwa kwenye moods zenu ni mara ngapi mwanawane? Mweeeeh.
Amen.
Mungu amutie nguvu huyo dada ili asimame kwenye maombi tu na mungu atamjibu.
Mwenye haki huwa haachwi na mungi.
Hizi ndoa kweli zina changamoto nyingi!!