vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 421
Kazi kweli kweli
huyo hakufai! huna utouti na mm, mi asubuhi nimelalamika mke wangu katoroka na kabeba kila kitu so mi nahisi sio suala la kujiuliza mara mbili achana nae.
Kwanza niweke sawa maeneo yafuatayo
1.una ndugu polisi wana vyeo lakinimukapeleka chai ukaambiwa kishaletewa na mkewe? Polisi wanauliza wewe ni nani unapoenda kumuona mtuhumiwa? Acha uongo wewe binti ndio maana huzai
2. Huyo mwanamke alikuambia alishawahi kulala kwako wakati umesafiri wakati umesema aliambiwa hajaoa huyu mtu sasa alijuaje kama umesafiri wakati aliambiwa hana mke? Acha uongo ndio maana anajuta sijui kwa nini kakuoa
Haya mahekaya wasimulie watoto wenzio kwenye vibaomkata huko sio unaleta mambo haya kwetu wachambuzi ma nguli ..utafungwa kwa kuwa muongo muongo wewe
Kwanza niweke sawa maeneo yafuatayo
1.una ndugu polisi wana vyeo lakinimukapeleka chai ukaambiwa kishaletewa na mkewe? Polisi wanauliza wewe ni nani unapoenda kumuona mtuhumiwa? Acha uongo wewe binti ndio maana huzai
2. Huyo mwanamke alikuambia alishawahi kulala kwako wakati umesafiri wakati umesema aliambiwa hajaoa huyu mtu sasa alijuaje kama umesafiri wakati aliambiwa hana mke? Acha uongo ndio maana anajuta sijui kwa nini kakuoa
Haya mahekaya wasimulie watoto wenzio kwenye vibaomkata huko sio unaleta mambo haya kwetu wachambuzi ma nguli ..utafungwa kwa kuwa muongo muongo wewe
Kwa shida na raha till death do you part, ulipokuwa unazungumzia shida ulikuwa unazijua shida au ulikariri tuu, maji yako hayo mama ogelea mwenyeweee
Babu ni umenifurahisha sana leoKuna vitu vingine tunamsumbua Mungu bure.
Asante kwa matusi na kejeli, jambo usilo lijua ni kama usiku wa giza.
Ndoa hizi, yaani watu wanaishi na maumivu ya moyo kila siku. Hivi ulishawahi jiuliza lini utakuja kupata furaha maisha mwako? Tangu unasoma shule ya msingi, sekondari, chuo, kazini maisha hayo yote yamejaa stress. Haya mtu unavumilia tu yote hayo. Ukasema ukija pata kazi utaishi maisha ya furaha, kazi nako majungu na fitina ndio zimejaa, hakuna furaha wala amani ila unaendelea kuvumilia tu. Unasema basi ngoja nioe/niolewe ili niwe na mwenza wa kunifanya nisahau haya maswaiba ya nje, huko ndani ndio balaa, maana afadhali hata hayo mengine unaweza kuyawacha huko nje kwa muda, lakini mwenza wako nae anakua hana yale uliyoyataraji, yaani ni bora hata hao wa anje hawana umuhimu. Hivi lini watu wataishi maisha ya furaha, kwa mtindo huu ina maana mtu hadi unaingia kaburini wewe ni matatizo na masononeko ya moyo huna hata raha. Ahaaaa, maisha kumbe ndivyo yalivyo, halafu unanishauri ndoa, thubutu, bora raha nijipe mwenyewe hata ukisema ni mbinafsi sawa tu, lakini sio kuishi maisha ya mashaka kila siku as if uko gerezani. Hakuna kitu kibaya kama kutokuwa na amani ya moyo. Wanakuambia raha jipe mwenye, sasa unaishi maisha ya mateso kama mfungwa. Poleni wenye maisha ya namna hii
sijui kama utakuwa mwana ndoa ndugu yangu.
ndoa inauma sana.
kuondoka sio suruhisho.
Na ndoa nyingi siku hizi ni za hivyo hivyo.
vinginevyo ataolewa hata mara kumi na wanaume ndo wale wale na kelo zao ni hizo hizo kama si kuchepuka ni kulewa na mambo mengine.
NDOA NI UVUMILIVU..
Asante kwa matusi na kejeli, jambo usilo lijua ni kama usiku wa giza.
Hakuna cha bure wewe, kanisani tu kuna sadaka seuse mie, usinizeeshe huko!
Mhh! !