Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Say no to violence.Nah.
Kick his ass so hard that he flies over the moon.
Say no to violence.Nah.
Kick his ass so hard that he flies over the moon.
Na tendo la ndoa tunaweza kufanya mara mbili kwa wiki kila akija amechoka.
Not literally dummy.:A S wink:Say no to violence.
Piga magoti muombe mungu kwa imani yako,mungu ni mwema sana
Mnhhhhhhh.
Aisee, yaani mara mbili kwa wiki kipindi hiki kibaya. Je mkiwa kwenye moods zenu ni mara ngapi mwanawane? Mweeeeh.
Ni mara mbili kwa mweziAisee, yaani mara mbili kwa wiki kipindi hiki kibaya. Je mkiwa kwenye moods zenu ni mara ngapi mwanawane? Mweeeeh.
Asante sanaAiseee huyo mwanaume anaroho mbaya sana saaaanaaa,pole mamii manyanyaso ndani ya ndoa yanaumiza moyo kuliko,nimekuhurumia sana mamii,hembu jaribu kuendelea kuvumilia huku ukimwomba Mungu kwa imani,Mungu akutie nguvu.
Best comment ever!
Asante sana mkuu Mungu akubarikiHiyo ni mitihani Mungu anakupitisha ipo cku yataisha. Na siku zote mwsho wa mateso ni furaha, God has prepare somethng good for you. Jipe moyo. Lakin pia unaweza ukampisha hapo home abaki mwenyew, ipo cku ataona umuhimu wako atakutafuta tu.