Maneno ya kejeli ya mume wangu

Maneno ya kejeli ya mume wangu

Tungepata na maelezo ya mumeo tungejua nini cha kushauri. Maana ninyi wanawake mnajua sana kugeuza maneno.. Wasiwasi wangu ni kwamba kama maelezo ndo hayo uliyotoa na wewe ni 36yrs unataka tukushauri nini? Au ni kweli ulihurumiwa kuolewa??
 
Kweli huyo ni mwanaume wa shoka! Na ushahidi wote huo anakataaa,hakika mwanaume kamili hata akifumaniwa live hakubali.
Sasa dada yangu nikupe pole nyingi sana, dunia hii imejaa dhiki nyingi sana,maumivu mengi sana na kibaya zaidi anaekusababishia maumivu ni yule wa karibu yako kuliko wote,mi hunijui hivyo hata nikutukane vipi hutaumia kama wakaribu yako akikukanyaga tuu! Na hii inatokana na mtazamo wako juu yake,pindi unapomtazama mtu yoyote kwa mtazamo hasi hapo ndipo mwanzo wa uchungu na maumivu kwako. Inasemekana umwaonapo alivyo ndivyo ulivyo wewe!

Hapa umeeleza upande wa pili ila yako haujaeleza na kama mwanadam hautakua mkamilifu, na kwa maana hio kunauwezekano hili tatizo asili yake ni wewe, pengine kuna sehemu haukutimiza wajibu wako kama mke na ndipo tatizo likaanzia hapo. Polee sana ,mi naamini katika Mungu,hayo yoote ni madoga sana kwake iwapo tumaini lako likiwa kwake, chakwanza angekupa Amani ya moyo,furaha,upendo na kuvumilia kwingi.

Dada yangu kwa imani uliokua nayo Sali sana kwa Mungu,Tubu sana kwa mumeo na kwa hao hawara zake wote,Tubu sana kwaajili yako na kwa wanawake wote wanoteseka kwenye ndoa zao itakusaidia sana hii katika imani,jitafakari tangu ulipovunja ungo ni wangapi uliowaumiza na utubu,usijefikiria hata mara moja kuvunja ndoa tena tubu kwa wazo hilo,omba sana uvumilivu,mpende mumeo kuliko maelezo,muombee sana,Mwenyezi Mungu akupe nguvu mama yangu ukayapite haya kwa usalama. Dada uonapo usiku umekua mnene sana ujue mapambazuko yamekaribia.
 
Ninachelea kusema kwamba,kama jamaa nae ana tatizo la uzazi na haya ndo unayoyaeleza,basi kuna ukweli ambao hujaueleza na hautakaa uueleze hadharani....

Ninachokiona ni wewe kutaka kusikia unachokipenda,unataka kuambiwa kile unachowaza ili kupata uhalali...

Kwa sababu kwa wanaume wote ambao wanajijua wana matatizo hayo na wenzi wao wana matatizo hayo,wamekuwa ni waaminifu +100%,nakuwa nao bega kwa bega katika ndoa zao kabla hawajaumizwa..

Hakuna furaha au raha inayokuja baada yakutenda mabaya kwa mtu mwingine,hata ukizunguka nakuwa single..kama ulishawahi kumuumiza mtu au huyo jamaa sahau kuhusu furaha au raha unayoitaka..

Ukweli wa mambo unaujua wewe kwa kiwango chote,angalia ulipoharibu kisha uparekebishe ndipo uendelee mbele..
 
Pole sana. Ila una moyo, kwa sababu mpaka unyumba bado unampa.
 
Pole sana dada kwa yaliyokukuta, endelea kuomba Mungu ukisubiri muujiza wako jiulize kwanini agombane na mchepuko alafu tens mchepuko ukupigie simu na kuomba msamaha? Kuna siri kubwa sana nyuma ya pazia hapo ujue mwisho wa yote umefika, usijaribu kukata tamaa.
 
Ninachelea kusema kwamba,kama jamaa nae ana tatizo la uzazi na haya ndo unayoyaeleza,basi kuna ukweli ambao hujaueleza na hautakaa uueleze hadharani....

Ninachokiona ni wewe kutaka kusikia unachokipenda,unataka kuambiwa kile unachowaza ili kupata uhalali...

Kwa sababu kwa wanaume wote ambao wanajijua wana matatizo hayo na wenzi wao wana matatizo hayo,wamekuwa ni waaminifu +100%,nakuwa nao bega kwa bega katika ndoa zao kabla hawajaumizwa..

Hakuna furaha au raha inayokuja baada yakutenda mabaya kwa mtu mwingine,hata ukizunguka nakuwa single..kama ulishawahi kumuumiza mtu au huyo jamaa sahau kuhusu furaha au raha unayoitaka..

Ukweli wa mambo unaujua wewe kwa kiwango chote,angalia ulipoharibu kisha uparekebishe ndipo uendelee mbele..

Yaani ukweli ndio huo mimi Sijawahi kumfanyia ubaya zaidi ya kutofautiana kwa kawaida. Na katika maisha yangu Sijawahi kumfanyia mwanaume ubaya au kumsaliti.

Wakwe zangu wananipenda hawakuwahi kuninyanyasa,wanajua vyema mtoto wao na wanajaribu kumshauri lakini wapi.
 
Pole sana dada kwa yaliyokukuta, endelea kuomba Mungu ukisubiri muujiza wako jiulize kwanini agombane na mchepuko alafu tens mchepuko ukupigie simu na kuomba msamaha? Kuna siri kubwa sana nyuma ya pazia hapo ujue mwisho wa yote umefika, usijaribu kukata tamaa.
Asante sana ukweli mchepuko ulinipigia na kuomba msamaha na kusema alimdanyanya kama hajaoa. Na huyo dada niliiona wwnachart sana WhatsApp hadi wanatumiana picha za ngono.Nilikutana naye pia kituo cha polisi ila hakujua kama mimi ni mke wake.
 
Unapotafakari cha kufanya juu Ndoa yako jaribu ku kumbuka ama kufikiria kwamba Kilichounganishwa na Mungu Mwanadamu asikitenganishe.
 
Nadahani ana-frustrations za low sperm count. Anafikiri anapokupiga mti, wewe unamdharau kuwa hata ushughulike kivipi una low sperm count. Kwa hiyo anakwenda kwa wanawake ambao hawajui tatizo lake huko anapata ahuweni. Seeepaaa
 
Nadahani ana-frustrations za low sperm count. Anafikiri anapokupiga miti, wewe unamdharau kuwa hata ufanye ufundi kivipi una low sperm count. Kwa hiyo anakwenda kwa wanawake ambao hawajui tatizo lake huko anapata ahuweni. Seeepaaa
 
Nadhani ana-frustrations za low sperm count. Anafikiri anapokupiga miti, wewe unamdharau kuwa hata ufanye ufundi kivipi una low sperm count. Kwa hiyo anakwenda kwa wanawake ambao hawajui tatizo lake huko anapata ahuweni. Seeepaaa
 
Mhhh nikishasikiaga mwanaume Malaya nanyongonyeeea kabisa nashindwa hata kuongea, ushauri wangu kwanza kapime afya yako yaani damu kubwa ukijikuta mzima basi bora ukavunje ndoa uwangalie maisha mengine kabla hujapoteza nguvu zako nyingi kwahiyo mtu pia ukikuta keshakuletea maambukizi mkimbie pia maana atakusababishia ufe mapema, nimekwambia hivyo kwasababu wanaume kama hao hawatumiagi kinga wakikutana na michepuko kwavile wanatafuta watoto anatamani apate hata mimba yakusingiziwa Matokeo yake nikuishia kwenye maambukizi ya vvu kaa chonjo chukua hata haraka, swala la wewe kutokupata mtoto ndio lakuangaikia sio kuangaika nahuyo mumeo pia stress ni tatizo kubwa lakuzuia mimba majibu ya dktr yasikuogopeshe jipange anza mfumo upya wa maisha yako usiriski uhai wako kwaajili yamtu asiye na utu eshimu uhai Mungu aliokupa nanafasi yako yakuishi nitumie vizuri
 
wanawake wengine ving'ang'anizi....mtu keshakwambia hakutaki bado umeng'ang'ana na kuomba ushauri jf, hawa jf ndiyo wamekuowa?
 
Back
Top Bottom