brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 362
- 524
Tangu huu ugonjwa umeingia kuna phase 1 mpaka 3 je Watanzania wamekufa kwa malaki kama USA? Kama tupo na tunadunda kkoo tutaendelea kuishi na legacy tuliyoachiwa
kwa mujibu wa Msomi Gwajima hayo madhara ni yapi? Kayaona lini?Viongozi wajitokeze wapangue kuanzia hoja za Magufuli maana ndo walimwamini zaidi,na alidai chanjo Zina madhara.
Halafu wajibu za Gwajima kuliko kurukia conclusion tu eti anapotosha.
😁😁😁😁Mtaa wetu wote wanakubaliana na Askofu Rashid
Kuna mahali nimesoma, tena humu JF, kuwa mtaalamu anasema chanjo iliyoletwa inaufanisi wa asilimia 99.99 ikiwa na maana kwa kila watu 1,000,000 ni watu 4 wanne wanaathirika. Nimeomba nipewe repoti ya utafiti huu. Bado sijaupata.la wataalamu ni kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili washawishike na sio vitisho na maneno ya kejeli.
WATAALAMU wetu wamekuwa makapu ya kauli na matamko ya wanasiasa baada ya weledi mwisho wa siku wanakuwa vituko.......Kuna mahali nimesoma, tena humu JF, kuwa mtaalamu anasema chanjo iliyoletwa inaufanisi wa asilimia 99.99 ikiwa na maana kwa kila watu 1,000,000 ni watu 4 wanne wanaathirika. Nimeomba nipewe repoti ya utafiti huu. Bado sijaupata.
Kwa hiyo wataalamu waje na hoja zisizotiliwa mashaka kuhusu chanjo kama wana nia ya kutuelewesha sisi raia.
Ww umeshadungwa chanjo..!!?Afadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.
Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.
Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Shida pia iko kwako! Unahisi kitendo chako cha kutetea chanjo basi umeshakuwa mwerevu kuliko wenzako!Afadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.
Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.
Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Nilikuwa mwalimu, honestly kuna wakati huwa najiuliza hivi kwa nini walimu wengi wako very myopic katika thinking capacity. Huwa nikiikumbuka staff yetu huwa namshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kujiongeza haraka nikaachana na hiyo kadaAfadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.
Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.
Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
You're not being realistic. Sikubaliani na doctrines za Gwajima. Lakini kusema kuwa hana ushawishi aisee unajilisha upepo. You better accept this bitter truth in order to properly face his misleading teachings about vaccines in general. However his doubts over vaccines are still relevant in their entirety. The questions about safeties of the vaccines have never been answered, everyone is giving evasive answers kwamba watu wasimsikilize Gwajima kwa kuwa siyo mtaalamu wa sayansi ya tiba. Lakini at the same time, watu wanaambiwa kuwa kabla ya kuchomwa chanjo watajazishwa disclaimer form. Under such situation nani mwenye akili timamu ataenda kupigwa hizo chanjo?Mbunge hawezi kukamatwa mpaka SPIKA aitoe HATI YA KUKAMATWA KWAKE.......
Tusifike huko.....
Kauli ya sheikh. Ponda huwa inaweza kuwa na madhara makubwa pale atoapo na ndio maana amekuwa akiingia katika mtafaruku na VYOMBO VYA DOLA....
Sheikh Ponda anajulikana kwa kuwa MAKINI NA MISIMAMO YAKE....huyu ndugu yuko SERIOUS huwezi kumuona katika SKENDOSKENDO hata za "kuzushiwa"........
Nimepita VIJIWE VYA KAHAWA VINGI kiukweli GWAJIMA "anapingwa" na kila mtu....
Hata wale wanaoipinga hii CHANJO bado WANAZIPINGA KAULI ZAKE TATA ALIZOTOA juzi ibadani......
WATANZANIA WALIO WENGI NI WAELEWA UKIACHA WALE WACHACHE TU AMBAO NI BENDERA FUATA UPEPO KWA VIONGOZI WASIO NA STAHA NA NDIMI ZAO
#TujiandaeKuchanjwa
#JMTMilele
#NchiKwanza
#KaziIendelee