CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.
Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?
Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?
Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?