Mkuu luvara umeona video ya ustadh ilunga?was that a comedy?kwa nini hakuchukuliwa hatua kwa uchochezi wa wazi alofanya kupitia ile video?
Ya kampeni kila mtu anajua na yeye mh rais anajua yote haya ni kwa sababu ya siasa zake nashangaa ninyi mnaohangika kumsafisha.
Semen ukweli mtaiokoa hii nchi na kama mnaweza kukaa naye meza moja mwambieni ameharibu sana aombe msamaha watanznia watamsamehe kwa sababu hajui alilokuwa analitenda.
Ya kampeni kila mtu anajua na yeye mh rais anajua yote haya ni kwa sababu ya siasa zake nashangaa ninyi mnaohangika kumsafisha.
Semen ukweli mtaiokoa hii nchi na kama mnaweza kukaa naye meza moja mwambieni ameharibu sana aombe msamaha watanznia watamsamehe kwa sababu hajui alilokuwa analitenda.