...umeshaanza kuukubali unabii eeh!
Na hata utabiri wa Sumaye umetimia pia kwamba Anayeingia madarakani kwa hila na kalamu "...atatawala kwa risasi" Yametimia kwa Mwangosi, yametimia Arusha tar 5 January, yametimia Morogoro kwa kijana muuza magazeti, yametimia Songea, yametimia kwa wanafunzi uhasibu Arusha kupigwa mabomu kisa kilaza RC, yametimia kwa Lema kuvamiwa nyumbani kwake kama jambazi wakati wangeweza kumuita tu hata kwa simu. Na sasa wanabadili style ni mwendo wa kung'oa meno, kucha na macho. ama kweli Dr na Sumaye ni manabii --sijui waliyaonaje haya -Mungu ana watu wake anaowapa maono kuwatahadharisha viumbe wake. Hongereni Dr Slaa na Mh Sumaye kwa unabii wenu akina WABHEJASANA waliwabeza lakini sasa wanaanza kuwaelewa taratibu.
Hizi ni 'NJEMU' tu hakuna kingine hapa.FULL STOP.
What do you mean Mkuu? au hoja hazijibiki? ni kazi sana kuwa wakili wa Ushetani wa magamba.
Naona umeamua kurukaruka hovyo. Nimesema ni kazi sana kuwa wakili wa mashetani - ona sasa hata kuongea unashindwa.'njemu'