Maneno aliyosema Lema Olasiti Arusha

Maneno aliyosema Lema Olasiti Arusha

Status
Not open for further replies.
Cuf kama iivyo kwa Chadema leo walikuwa wahanga tu wa siasa za ccm, mimi nimewahi kufuatilia kwa ukaribu siasa za Cuf na itakuwa dhambi kusema kulikuwa na udini
 
Wewe unatazo la ubinafsi, je SHEKHE PONDA NDIYE MUASISI WA UDINI TANZANIA? KUWA MKWELI ILI TUINURU INCHI YETU. MUKIENDELEZA UBAGUZI KAMA HUU WA JAMII FORUM TUTAFIKA TUSIKOKUPENDA.


Nimekuambia ni MUASISI? Tatizo la UDINI ni Matatizo NCHINI especially UCHUMI NCHINI... Kama MKAPA asingeuza VIWANDA vingi Dar na kuacha serikali ivimiliki sidhani tungekuwa na matatizo kama tuliyonayo sasa hivi; Unajua kila mtu anakimbilia Dar toka kona zote NCHINI

Wewe ukiangalia hata nchi zilizoendelea ziko hivyo watu wanakimbilia MIJI mikubwa; na Marekani pamoja na kuwa taifa la kibepari kuna Makampuni Makubwa yana POWERFUL WORKERS UNIONS yanawalinda haswa kuliko hata Owner Sisi sijui kama WORKERS UNION zetu zinaweza kufurukuta kwa PRIVATE companies kama vile AZAM au COCACOLA...

Sasa sisi tulipokuwa na URAFILI; SUNGURATEX Unions zilikuwa zinawatetea wafanyakazi na Maisha yao hayakuwa Mabaya sasa NCHI ina kila kitu ina GOLD; GAS; URANIUM... kwanini isivichukue hivyo VIWANDA vya textiles Dar na kuvifufua na kuajiri wananchi wa Dar? utaona kama haya mambo ya UDINI utakuwepo... watu watakuwa na better standards of LIVING and watarudi kwenye DINI as a place fo PRAYER sio sehemu ya kuomba misaada kama sasa hivi sababu hakuna sehemu ya ajira...
 
  • Thanks
Reactions: DSN
1. Katika kampeni za uchaguzi mkuu 2005 CUF ilikuwa na nguvu CCM katika majukwaa walijinadi kuwa wananchi wasiichague CUF sababu ni chama cha kidini na mwisho wa siku IGP O.Mahita alionyesha visu kuwa ni vya CUF kwa ajili ya kuleta vurugu siku ya uchaguzi2. katika kampeni za Uchaguzi mkuu 2010 CHADEMA ilikuwa na nguvu CCM katika majukwaa waliwaambia wananchi wasiichague CHADEMA ni chama cha kidini na mgombea ni Padri hivyo wataeneneza Ukristo.Kwa hoja hizo huoni kwamba CCM wamepandikiza haya tuyaonayo sasa? kulikuwa na ulazima gani kuzungumza maneno kama hayo kwenye kampeni.


KIBOGO,,, ULICHOSEMA HAPO JUU NI UKWELI KABISA
Kwani kuna watu hasa ndugu zetu wakristo walikubali kabisa kuwa CUF ni chama cha waiislam, na mpaka sasa propganda ya kuwa CHADEMA ni chama cha kikristo bado inaenea kwa kasi kubwa sana hivyo propaganda za CCM ni za kuangalia sana la sivyo CHADEMA wasitegemee kura nyingi kutoka kwa waislamu hali ambayo iliikumba CUF na wakristo mwaka 2000.
 
wewe unatazo la ubinafsi, je shekhe ponda ndiye muasisi wa udini tanzania? Kuwa mkweli ili tuinuru inchi yetu. Mukiendeleza ubaguzi kama huu wa jamii forum tutafika tusikokupenda.

bora tufike uko kuliko kuleta unafiki ambao utatupeleka kubaya zaidi, angalia sirya wameamua kuaribu nchi ili wakaanze upyaa lakini wasiwe chini ya utawala mbovu na wa kinafiki. Nazidi kusema bora tuaribu nchi yetu mapema ili wajukuu zetu waje wakijenge upya .......wafaransa nao waliaribu hivyo lakini walijenga tena.

 

Hawakumtoa HEWANI sababu ya PUMBA... Waliondoa ili wasiwe WAMEFUNGAMANA na SIASA za UPANDE wowote; Wanajua JINSI GANI DINI yao inavyoandamwa Tangu NYERERE alipofariki na wanavyowaita kuwa na MFUMO KRISTO; Ambao ndio Ulianzia toka kwa DINI yao... na ndio inayopata Msukosuko Sasa hivi... Kwahiyo Walichofanya ni KUJINEEMESHA na SIO sababu ya PUMBA

LEMA amesema UKWELI... kwanini aliposema tuwatolee DAMU watu wote walimuunga MKONO???

Nilidhani wewe umenyamazishwa na CCM ORIGINAL sababu ya TABIA yako ya KUPOKEA PESA toka LUMUMBA???

Kwa nini Unatumia nguvu nyingi kutaka kumtetea Lema wakati kila mtu alisikia kidogo kile alichokuwa anakisema. Radio Maria inaendeshwa na watu walioelimika. Baada ya kusikia pumba zake kwa dakika moja waliamua kuzima microphone. Hata mara ya pili pia wakazima tena microphone.

Radio Maria hawakuwa tayari Radio yao itumiwe kwa kampeni chafu za kisiasa wakati niya waumini wote inayoendeshwa kwa sadaka na michango.
 
Kuna tatizo lolote kwenye haya maneno au unataka kusemaje?
Ninavyosoma post yako hii napata piicha kwamba kipo unachotaka kusema zaidi, plz funguka tu!

Kuna thread ya LUKOSI inapotosha!.. Tafuta uone.. Wameacha kulaani muuaji wanamlaani LEMA.
 
CCM walianzisha vipi udini?

Wakati CUF ilipokuwa na nguvu, walisema ni chama cha Waislam na kuwaomba wakristo wajiepushe nacho. Leo hii wanakihusisha CDM na Ukatoliki, ili kuwaaminisha watu hivyo. CCM wanayajua haya, lakini ambacho hawakujua ni matokeo. Wamechuma janga, tutakula wote.
 
Na asubuhi nitarusha video

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

mrembo, Lukosi, Ng'wanamapalala.. Mfuatilie haya ili muache kukurupuka kama msemavyo kuwa watu wanaosema kuna mkono wa dini wamehukumu bila kujua ukweli... Hata Lema mnamlaumu bure kwa kubeba PROPAGANDA ZA WATAWALA KWAKUJUA AU KWA KUTOKUJUA!!!...

Sema tuwasikie... Kosoeni aliyosema MULONGO, NCHIMBI na PINDA!
 
Mhuni huyo

CCM walianzisha vipi udini?

Radio Maria baada ya kuona Mh. Lema anaongea pumba walimtoa hewani. Na kwa kuonyesha kwamba hawabahatishi, walimtoa hewani mara mbili.

Mh. Lema akili yake haipo sawa, kuna uwezekano mkubwa alipokuwa mtoto alisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.

Lema anajua nani kalipua bomu hapo Arusha, akamatwe aunganishwe kwenye hiyo kesi.
Hawa ni Magaidi wasionewe huruma.

Kwa nini Unatumia nguvu nyingi kutaka kumtetea Lema wakati kila mtu alisikia kidogo kile alichokuwa anakisema. Radio Maria inaendeshwa na watu walioelimika. Baada ya kusikia pumba zake kwa dakika moja waliamua kuzima microphone. Hata mara ya pili pia wakazima tena microphone.

Radio Maria hawakuwa tayari Radio yao itumiwe kwa kampeni chafu za kisiasa wakati niya waumini wote inayoendeshwa kwa sadaka na michango.

Lema its a kichwa maji

Hawa wote ni Dini moja... Yaliyowapata wakristo ARUSHA si TATIZO ila KAULI ya LEMA kwakuwa inaathiri CCM ambayo wanaamini kwa sasa inabeba maslahi ya dini yao kupitia mtu wao... BASI KAULI NI MBAYA kuliko waliolipua mabomu!.. Akilalamika mkristo kwao,.. Si sawa!!
 
mh lema nakuaminia, naomba na wewe utumie mbinu binafsi kupata ukweli wa hili jambo, na ukigundua mwaga hadharani. Wasije wakaleta muvi kama zile za director kova.
 
Kuna wapumbavu wanasema ni m23
 
Maneno ya Lema kwa yenyewe siyo mabaya. Wasiwasi wangu ni kuwa tusije kuhusisha kila jambo na siasa. tena niseme hivi: isije ikawa kikundi fulani kinachoamini kuwa CCM ni muasisi wa udini, na kikafanikiwa kuwaaminisha watu wengi hivyo, sasa kinasababisha haya kwa kujua kuwa CCM na serikali yake ndo wadini na hata hili la olasiti wamelisababisha wao. God forbid!

Tufike mahali wanasiasa tusiwe wepesi wa kufanya conclusion kwa maslahi ya kisiasa. Tuwaache polisi wafanye kazi yao japo nao ni wachakachuaji na wepesi wa kutumikia CCM (utadhani wanalipwa na CCM) na serikali yake dhaifu badala ya wananchi.

Wapendwa; myaonapo haya yanatokea kwa frequency ya juu zaidi kila uchao tambueni kuwa ule mwisho u karibu; na ukombozi u karibu zaidi kuliko jana!

Pole nyingi kwa wafiwa na majeruhi!
 
Haya ndio maneno aliongea LemaSent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Lema na wenzake huu si wakati wa kunyoosheana kidole! yaliyotokea Arusha ni uhalifu na tuwache serikali na jeshi la polisi lifanye kazi zake! kuanza kulaumu ccm ndio chanzo cha mlipuko wa bomu hakusaidii chochote! Serikali isikubali kuyumbishwa na kauli tata za mbunge wa Arusha kwani inaonekana anataka kunufaika kisiasa nyuma ya mgongo wa mlipuko wa bomu kanisani! swali la kujiuliza huyu lema alichaguliwa na wakristo tu? kwanini anataka kubase upande mmoja wa kidini? walioshambulia kanisa ni wahalifu na kamwe wasihusishwe au kufungamana na dini fulani! inasikitisha kusikia mbunge wa arusha anatoa kauli za kuchochea uhasama baina ya wakristo na waislamu badala ya kusaidia kuleta maridhiano! hivi hajui kauli zake zinaweza kuleta uhasama na machafuko ya kidini na kusababisha mauaji na kudorora kwa uchumi wa wananchi wa Arusha wanaotegemea zaidi utalii?
 
CUF ni Waislam

CDM ni wachagga na wakristu

Chagua CCM hii ilikuwa kauli Mbiu ya Kikwete
Hebu naomba nukuu ya maandishi au audio au mkanda wa video ambapo Jakaya Kikwete anatamka kwamba CHADEMA ni chama cha Wakristo. Au kaa huna, we nambie tu ulipomsikia ni lini na wapi, halafu mwenyewe nitatafuta.

katika kampeni za Uchaguzi mkuu 2010 CHADEMA ilikuwa na nguvu CCM katika majukwaa waliwaambia wananchi wasiichague CHADEMA ni chama cha kidini na mgombea ni Padri hivyo wataeneneza Ukristo.
Naomba uthibitisho wa labda gazeti ama rekodi ya sauti ambapo mgombea Ubunge wa CCM ama udiwani ama Urais alitamka kwenye jukwaa kwamba mgombea wa CHADEMA ni padre na ataeneza Ukristo.

Wakati CUF ilipokuwa na nguvu, walisema ni chama cha Waislam na kuwaomba wakristo wajiepushe nacho.
Kwa hiyo CCM waliwaomba Wakristo wasijiunge na CUF, chama cha Waislam. Hao CCM waliokuwa wanasema Wakriso wasijiunge na CUF ni CCM Wakristo ama CCM Waislam?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom