Hebu naomba nukuu ya maandishi au audio au mkanda wa video ambapo Jakaya Kikwete anatamka kwamba CHADEMA ni chama cha Wakristo. Au kaa huna, we nambie tu ulipomsikia ni lini na wapi, halafu mwenyewe nitatafuta.
Naomba uthibitisho wa labda gazeti ama rekodi ya sauti ambapo mgombea Ubunge wa CCM ama udiwani ama Urais alitamka kwenye jukwaa kwamba mgombea wa CHADEMA ni padre na ataeneza Ukristo.
Kwa hiyo CCM waliwaomba Wakristo wasijiunge na CUF, chama cha Waislam. Hao CCM waliokuwa wanasema Wakriso wasijiunge na CUF ni CCM Wakristo ama CCM Waislam?