Maneno aliyosema Lema Olasiti Arusha

Maneno aliyosema Lema Olasiti Arusha

Status
Not open for further replies.
Hayo ndiyo matunda ya siasa chafu za kipumbavu za ccm, zikiongozwa na Jk wakati wa kampeni za 2010 kuwagawa watu kwa dini zao!
Leo hii wanavuna matunda ya kazi nzuri ya kuhubiri udini

Unapenda sana kutukana watu,angalia usivyokuwa mstahimilivu wa hoja,ndiyo maana nakwambia uelewa wako ni mdogo tena sana na hapo ndipo ulipofikia,UPUMBAVU NI TUSI kwa hiyo lugha yenu ya kujifunza ni (FULL),lakini Ujinga sio Tusi,ni mtu asiyeelewa na kwamba ipo siku ataelimishwa na kuelewa.narudia kusema acha ujinga mkuu jaribu kufunguka.
 
sio kNI KIPAJI

la kitu ni siasa...kweli UJINGA
Uchochezi upi.,sio nyie mliruka futi 100 bungeni mkisema hakuna Udini alafu Mwenyekiti wenu akakutana na viongoz wa kikristo baada ya waislam,vp kwenye mei mosi aliongelea nini?,mmekalia unafiki ili wakristu wateketee,nyinyi ccm ndio waasisi na wapangaji wakuu wa haya matukio.,mnatucheza mpira alafu mnageuka watazamaji..sisi tunaona nia yenu mbaya juu ya waislamu,wakristu na watanzania kwa ujumla..,wazuri sana kwenye kuongea
 
Mkuu mara nyingi huwa sipendi kujibu comment zako kwa sababu zimekaa kishabiki sana kila siku,hakuna siku ambayo ume-comment jambo la maana tofauti na kushambikia Ujinga unaoendelea kutokea hapa nchini,kuna wakati unaongea mambo ya maana lakini maneno yako mengi ni ya kinafiki,uchama sana,na mengine mengi yanayoendana na hayo,mkuu unaweza kunijibu ni kwa nini LEMA alikuwa kiongozi wa kwanza kufika katika eneo la tukio wakati alikuwa Bungeni?!,unajua tuna akili sana kuliko unavyofikiri wewe na kundi lako!,hili suala kuna haja ya LEMA kuhojiwa kwa sababu kuna element zinaonesha kama ana lifahamu vile!,kuna comment nyingi sana humu zimeeleza na kutilia mashaka kwamba huenda huyu jamaa alikuwa anafahamu mpango mzima.Jamani hivi tunakwenda wapi kwenye nchi hii,hivi wewe ni mtanzania halisi kweli?!,hivi ni kwa nini tukio litokee halafu yeye akimbilie kukihusisha chama?!,sikubaliani na hili hata kidogo,naona wewe na kundi lako unataka kutupeleka kubaya!.

Umebugi kaka. Kwanini usifikilie ule usemi wa COLLATERAL DEMAGE tuliousikia juzi toka kwa CHIKAWE, utasikia ARUSHA hamna mikutano ya CHADEMA wala maandamano, na siajabu uchaguzi wa madiwani ukaahirishwa. Siamini serikali ya CCM imejaa usanii sana.

Tusifirie sana kwamba hili limefanywa na waislamu, tuangalie katika mtazamo mpana, any thing is possible kwa serikali yetu give situation iliyopo sasa.
 

KIBOGO,,, ULICHOSEMA HAPO JUU NI UKWELI KABISA
Kwani kuna watu hasa ndugu zetu wakristo walikubali kabisa kuwa CUF ni chama cha waiislam, na mpaka sasa propganda ya kuwa CHADEMA ni chama cha kikristo bado inaenea kwa kasi kubwa sana hivyo propaganda za CCM ni za kuangalia sana la sivyo CHADEMA wasitegemee kura nyingi kutoka kwa waislamu hali ambayo iliikumba CUF na wakristo mwaka 2000.

Inabidi kuwa makini mnapohitimisha mambo nyeti namna hii. Unapodai CDM wasitegemee kura nyingi toka kwa Waislamu una maana gani? Hapa tutofautishe ignorance ya kikundi fulani au ukanda fulani kwa sababu labda hawakuziona vizuri kuta za madarasa na hapo hapo wakajikuta ni wa dini mojajwapo halafu ukawafanya kuwa Waislamu au Wakristu bila kuangalia chanzo cha uelewa mfinyu. Na hiki ndicho CCM inachokifanya na ndio maana imejenga vyumba vingi vya madarasa ikavipa usajiri na kuitwa sekondari lakini ikavinyima walimu na hata wachache waliopo ni walimu jina na wao hawana mishahara wala motisha na anapoanza kukimbizana akifatilia mshahara anajikuta ametumia sawa au zaidi ya mshahara anaofukuzia, hazina vitabu vya ziada ana kiada, hazina maabara, umeme, maji, vyoo n.k. Kwa ufupi CCM are archtecting ignorance ili wapate kuitumia waendelee kutawala. Kwa hivyo ni angalizo kuwa si tu kwamba CDM hawawezi kupata kura za Waislamu bali hawawezi kupata kura sehemu zenye watu ambao wamekuwa wahanga wa sera za CCM. Hawa wanahitaji elimu ya uraia.

CUF na CCM wamekuwa wahanga wa propaganda za CCM kuhusu udini. Na wao wanapaswa kuweka nguvu zao pamoja. Vyama vingine vya upinzani nao ni wahanga watarajiwa pale watakapokuwa na nguvu. Tunatakiwa kuungana kwenye mambo yenye mustakabali wa taifa. Nategemea TLP, UDP, NCCR na vingine vitaunganisha nguvu na kumuunga mkono Lema na Wenje na makamanda wengine kwenye kuiambia serikali na CCM kuwa kanuni iliyoanzisha udini ndiyo itakayomaliza udini. Wanajua ni wapi mambo yaliponza kuharika na ndipo dawa itakapokuwa
 
Radio Maria baada ya kuona Mh. Lema anaongea pumba walimtoa hewani. Na kwa kuonyesha kwamba hawabahatishi, walimtoa hewani mara mbili.

Mh. Lema akili yake haipo sawa, kuna uwezekano mkubwa alipokuwa mtoto alisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.

siyo kweli tuulize sisi ambao tulikuwa eneo la tukio
 
Hata mimi nashangaa licha kulalamika sana juu ya kanda za uchochezi za akina Ustazi Ilunga, Last week nimezikuta zimeanikwa pale kwenye msikiti wa Indira Ghandi karibu na Hospitali ya Hindu Mandali. JK, IGP Mwema, Othmani wa Usalama wa taifa mnalipeleka wapi taifa letu.
Hawa CCM ni hatari sana,wazuri sana kwenye kuongea,wanatuchezesha mchezo kati ya wakristo na waislamu na nia yao waendelee kutawala ila sijui watawatawala wa nani pindi kitakaponuka.,wanatuona mapimbi,wanafuraia wakristu wanavyokufa ndo maana walisema Bungeni hakuna udini ili wakristu waendelee kuuliwa..SUBIRIA TAMKO KWA HILI LA A-TOWN ni mwendelezo wa uongeaji mzuri ili kuwatuliza ila mpango wao uko palepale...MUNGU ATAWALAANI
 
quote_icon.png
By Chintu
...umeshaanza kuukubali unabii eeh!
Na hata utabiri wa Sumaye umetimia pia kwamba Anayeingia madarakani kwa hila na kalamu "...atatawala kwa risasi" Yametimia kwa Mwangosi, yametimia Arusha tar 5 January, yametimia Morogoro kwa kijana muuza magazeti, yametimia Songea, yametimia kwa wanafunzi uhasibu Arusha kupigwa mabomu kisa kilaza RC, yametimia kwa Lema kuvamiwa nyumbani kwake kama jambazi wakati wangeweza kumuita tu hata kwa simu. Na sasa wanabadili style ni mwendo wa kung'oa meno, kucha na macho. ama kweli Dr na Sumaye ni manabii --sijui waliyaonaje haya -Mungu ana watu wake anaowapa maono kuwatahadharisha viumbe wake. Hongereni Dr Slaa na Mh Sumaye kwa unabii wenu akina WABHEJASANA waliwabeza lakini sasa wanaanza kuwaelewa taratibu.



Hizi ni 'NJEMU' tu hakuna kingine hapa.FULL STOP.
What do you mean Mkuu? au hoja hazijibiki? ni kazi sana kuwa wakili wa Ushetani wa magamba.
 
......vizuri sana mh.Lema kuyasema haya maneno.....tena kwenye tukio....hivi mlitaka haya yasemwe wakati gani?????...Watanzania tumefikishwa hapa na tabia ya kutokemea mambo maovu yatokeapo.....na ndio sababu watu wameshupaa humu kumlaumu mh.Lema.....Yeye Lema kaongea hayo kwa nafasi yake kama mtanzania na kila mtu ana haki ya kukemea maovu yanapotokea.....Jambo ovu limetokea mtu anakemea watu wanapiga kelele.....nani akemee sasa??JK??....tumechoka na matamko ya JK sisi.....tunataka action....watu wakamatwe...tuone wakifungwa....na si kesi zisizoisha.....Tunataka waovu hawa wakamatwe haraka na wafungwe kama walivyofanya kwa wauaji wa albino.......kinyume cha hapo ni ushenzi na unafiki tu.......
 
Mi naona kua Lema amekurupuka sana kuleta hitimisho kabla ya uchunguzi haujafanyika. Pia mtu anayependa kukimbilia katika udinu ni lazima yeye mwenyewe anamatatizo katika hilo hivyo anatafuta mwanya ili ajipatie umaarufu ktk hili. Kama kiongozi hawezi kuanza kuwalaumu pande wa pili maana upande huu pia utamshitumu yeye kua ni mdini.
 
Unapenda sana kutukana watu,angalia usivyokuwa mstahimilivu wa hoja,ndiyo maana nakwambia uelewa wako ni mdogo tena sana na hapo ndipo ulipofikia,UPUMBAVU NI TUSI kwa hiyo lugha yenu ya kujifunza ni (FULL),lakini Ujinga sio Tusi,ni mtu asiyeelewa na kwamba ipo siku ataelimishwa na kuelewa.narudia kusema acha ujinga mkuu jaribu kufunguka.

Upumbavu siyo tusi. Hiyo ni sifa kwa mtu mwenye qualifications za kuitwa mpumbavu. Upumbavu huo huo ndiyo uliotifikisha hapa tulipo, umesababisha watanzania tugawanywe kwa dini zetu. Subiri ushahidi wa Lema bungeni kuthibitisha Jk ni muasisi wa udini nchi hii. Labda spika auweke kapuni kama kawaida yake kwa kulinda maslahi ya chama chenu cha majangili
 
lema kama raia wa tanzania anayo haki ya kuongea kikatiba
 
CCM walianzisha vipi udini?
Kuelekea uchaguzi wa mwaka 2010 baada ya kuona wamezidiwa sana na chadema Kikwete aliongea na masheikh ilikumsaidia kampeni misikitini huku akiwaahidi upendeleo kwenye serikali yake, mahakama ya kadhi, OIC, huku akiwaambia niafadhali waislamu wote wamuunge mkono yeye kuliko padri Slaa..inatisha sana ukiona cd ya mkakati huo natamani watanzania wasiione kamwe..
 
quote_icon.png
by chintu
...umeshaanza kuukubali unabii eeh!
Na hata utabiri wa sumaye umetimia pia kwamba anayeingia madarakani kwa hila na kalamu "...atatawala kwa risasi" yametimia kwa mwangosi, yametimia arusha tar 5 january, yametimia morogoro kwa kijana muuza magazeti, yametimia songea, yametimia kwa wanafunzi uhasibu arusha kupigwa mabomu kisa kilaza rc, yametimia kwa lema kuvamiwa nyumbani kwake kama jambazi wakati wangeweza kumuita tu hata kwa simu. Na sasa wanabadili style ni mwendo wa kung'oa meno, kucha na macho. Ama kweli dr na sumaye ni manabii --sijui waliyaonaje haya -mungu ana watu wake anaowapa maono kuwatahadharisha viumbe wake. Hongereni dr slaa na mh sumaye kwa unabii wenu akina wabhejasana waliwabeza lakini sasa wanaanza kuwaelewa taratibu.




what do you mean mkuu? Au hoja hazijibiki? Ni kazi sana kuwa wakili wa ushetani wa magamba.

'njemu'
 
Hawa wote ni Dini moja... Yaliyowapata wakristo ARUSHA si TATIZO ila KAULI ya LEMA kwakuwa inaathiri CCM ambayo wanaamini kwa sasa inabeba maslahi ya dini yao kupitia mtu wao... BASI KAULI NI MBAYA kuliko waliolipua mabomu!.. Akilalamika mkristo kwao,.. Si sawa!!

Bahati iliyo njema ni kwamba,Mungu Mwenyezi amekwishawapa watanzania ufahamu wa kutosha wa kuchambua mchele na pumba,wachochezi na wasio wachochezi,n.k. Time will tell,
 
Haya ndio maneno aliongea Lema

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Poleni sana yaliyowasibu wa-Tanzania wenzangu!! Naona hata Kwenye VIFO watu mnafanya kampein, hivi kweli hayo ni maneno ya kuwapa pole watu wkt kama huo au ni KUCHOCHEA chuki na vurugu? kwa wakati ule, kweli? Ni upumbavu tupu kushabikia vitu kama hivi na tukiendelea na ujinga huu kama wa Lema na wanaomshabikia basi tunaukaribisha uhalifu wa kimataifa hapa Tanzania kwa bei rahisi sana!! Ninavyojua mie katika hali kama hii watu huwa wanakuwa na mshikamano na umoja, NO HII SIO SAWA, naona sasa DINI MPYA ZA U CCM NA UCHADEMA zinatuvuruga tu, acheni acheni UJINGA!! fungueni na tumieni akili zaidi ya kufuata upepo!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom