Maneno aliyosema Lema Olasiti Arusha

Maneno aliyosema Lema Olasiti Arusha

Status
Not open for further replies.
Nimesikiliza asubuhi channel ten, hali ni Mbaya sana, Sijuhi ni makusudi kwa maana wametumwa au ndio uwezo wa wachangiaji kufikiri na hii ndio sample ya watanzania tulio nao mtaani.
Wachangiaji wansema Mlipuko ni wa Kisiasa kwa kuwa ulipotokea tu wanasiasa wakawa wakwanza kwenda kuwahi eneo la tukio na kutoa kauli.
 
Kila siku ccm mtaumbuka maana chadema ni mpango Mungu.
 
Kiobgozi hukupata hata zile meseji zilizokuwa zinatumwa kwenye simu zetu?
Zilizotumwa na nani?

Meseji sikuwahi kupata, labda nisaidie, wewe ya kwako ilisema imetoka kwa nani, Jakaya Kikwete ama Shehe Ponda, ama Mchungaji Mtikila, ama John Chiligati ama Mama Rwakatare, ama Mzee wa Upako ama Shehe Basaleh ama nani huyo aliyesema kwamba yeye anaiongelea CCM kwamba Wakristo wasijiunge CUF na mgombea wa CHADEMA ni padre atakaeeneza Ukristo.

Maana usijekuwa umepokea text message ya MaxShimba, nguli wa Jukwaa la dini Jamiiforums, ukasema umetumiwa ujumbe na Kamati Kuu ya CCM!
 
Waislamu na
wakristo waaminifu tunampenda lema
 
Sipendi kuwa msemaji katika swala hili la kidini ila noamben tu kwa wale wanao endesha ili gurudum waache mara moja kwa maslai ya taifa letu.....nini maana ya kugombana ka xi kutoana uhai..na kuongeza dependancy.....ratio.
 
wisdom is to do the right thing, at a right place, in a right time to the right people on a right way
 
Wewe unatazo la ubinafsi, je SHEKHE PONDA NDIYE MUASISI WA UDINI TANZANIA? KUWA MKWELI ILI TUINURU INCHI YETU. MUKIENDELEZA UBAGUZI KAMA HUU WA JAMII FORUM TUTAFIKA TUSIKOKUPENDA.

hata mimi huwa sielewi mara ponda mara ilungu huku kwetu waislamu atuwajui watu hao. Ni sisimizi tu uwezi kuhusema uislamu kwa kumwangalia ilunga na ponda fatuni lingine
 
kama Kuna mtu ataweza kusaidia Nchi hii basi mtu huyo awe mkweli
 
Hawa wote ni Dini moja... Yaliyowapata wakristo ARUSHA si TATIZO ila KAULI ya LEMA kwakuwa inaathiri CCM ambayo wanaamini kwa sasa inabeba maslahi ya dini yao kupitia mtu wao... BASI KAULI NI MBAYA kuliko waliolipua mabomu!.. Akilalamika mkristo kwao,.. Si sawa!!

Mie Mkristo lakini kwa hili LEMA atakuwa anajua ukweli.
1. Kwanini hakuwa Dodoma kwakuwa alijua tukio litatokea ili awe mtu wa kwanza kuwepo aonekane responsible.
2. Ili akatoe matamko kuwa CCM na serikali yake inahusika ili aendeleze gape kati ya CCM na waumini wa kikristo.
3. Uchonganishi ambao una hila ndani yake bila kujali mkutadha!
NARUDIA TENA, NA TENA..
CHADEMA MNAHUSIKA KWA HILI. FULL STOP.
 
Sumu, huyu Lema nafikiri ana upungufu wa akili, maana yeye ndiye anayekuwa mbele kuchochea maswala ya udini kama hajui. Mimi nimejaribu sana kumsikiliza maneno yake anayoyasema hayana mantik yeyote. Hawezi kumtukana kiongozi wa nchi kama vile anamtukana mtu wa rika lake tena ambaye siyo kiongozi.

Mimi nachelea kusema kuwa Lema anavuta bangi kama siyo madawa ya kulevya.
 
Ushauri wangu ningetamani jf pasiwe mahali part propaganda bali kuwatia moyo viongozi jasiri
 

Yaani Haujui? Ni kivipi Sheikh Ponda alipata fursa ya kuongea Hadharani dhidi ya Dini zingine? Bila ya Serikali kujua?

Inakuwaje Rais hajui UDINI ulianzaje wakati campaign zake za 2010 alikuwa anaongelea UDINI na UKABILA? Bila Tricks zake za DIVIDE and RULE unadhani anakuwa Rais wa NCHI hii this term?
hivi raisi anaweza gombea Term tatu hebu nieleweshe
 
"ningekuwa mimi ndiyo lema, ningehamasisha watu kutoa msaada kwa majeruhi bila kutoa tamko kama hili"
 
Mie Mkristo lakini kwa hili LEMA atakuwa anajua ukweli.
1. Kwanini hakuwa Dodoma kwakuwa alijua tukio litatokea ili awe mtu wa kwanza kuwepo aonekane responsible.
2. Ili akatoe matamko kuwa CCM na serikali yake inahusika ili aendeleze gape kati ya CCM na waumini wa kikristo.
3. Uchonganishi ambao una hila ndani yake bila kujali mkutadha!
NARUDIA TENA, NA TENA..
CHADEMA MNAHUSIKA KWA HILI. FULL STOP.


kweli watu wamekufa kiakili
 
Tuwape pole wananchi wa Arusha na hasa wakatoliki wa Olasiti, kwa muda huu sio vizuri kuweka pilipili kwenye kidonda au kuweka petroli mahali ambako tayari moto unawaka. Tuwe na subira maana ukweli ndio pekee utakaotuweka huru.
 
Enzi za ukoloni kulikuwa na DIVIDE AND RULE!
Nazani ndicho anachomaanisha Lema kuwa sasa kinajirudia kwa sera ya CCM
 
we ni mtu hatari kwa ustawi wa tanzania nikwambie sasa, tabia za kinyamkera uache unatabia zote kama za mwanamke aliyeachwa !
Radio Maria baada ya kuona Mh. Lema anaongea pumba walimtoa hewani. Na kwa kuonyesha kwamba hawabahatishi, walimtoa hewani mara mbili.

Mh. Lema akili yake haipo sawa, kuna uwezekano mkubwa alipokuwa mtoto alisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
 
Mzee wa maandamano tushamchoka
Radio Maria baada ya kuona Mh. Lema anaongea pumba walimtoa hewani. Na kwa kuonyesha kwamba hawabahatishi, walimtoa hewani mara mbili.

Mh. Lema akili yake haipo sawa, kuna uwezekano mkubwa alipokuwa mtoto alisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom