Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Naona umeanza kuchafua hewa..our Young man from Tanzania JK namwona ana sign autograph pata picha angekuwa babu slaa akili yote ingekuwa kwa winnie mandela
Huu ushuzi hautakiwi hapa mkuu..
Naona umeanza kuchafua hewa..our Young man from Tanzania JK namwona ana sign autograph pata picha angekuwa babu slaa akili yote ingekuwa kwa winnie mandela
Kwa umri alionao KK usishangae akimwita JK 'a young man from Tanzania'...
Katika hotuba ya kaunda amemtaja nyerere zaidi ya mara kumi, amemmwagia sifa kemkem na watu wameshangilia sana. Kweli nyerere ndo amemtengeneza mandela
KK ni Umri wa akina mandela, kama wako 90, JK ni 60, sasa sio young man kwake?
Ilikuwa ni ishu ya barabara, aliwaambia wasafirishaji wa Malawi kwamba barabara za SA zimejengwa kwa kiwango na ubora na sio kama za kwao Malawi.Kuna kitu kibaya zuma aliongea juu ya malawi, baadaye aka apologise, nimesikia jamaa wa cnn wakikisema lkn sikuelewa vizuri
Naona umeanza kuchafua hewa..
Huu ushuzi hautakiwi hapa mkuu..
South Africa wanachaguwa chama boya wewe.
Kama hawamtaki hata leo wanamwondoa na chama kinateuwa mtu mwingine anaapishwa kuwa Rais. Msiwe mnakurupuka kwa msiyoyajuwa. Kuzomea ni kitu cha kawaida sana kwa nchi zenye demokrasia.
nani kakupa u moderator JF?
Nadhani ndicho kitu nilichomaanisha....Kwamba kwa umri alionao KK (Matola niliyemquote) asishangae kuona akomwita JK 'a young man from Tanzania'
Katika hotuba ya kaunda amemtaja nyerere zaidi ya mara kumi, amemmwagia sifa kemkem na watu wameshangilia sana. Kweli nyerere ndo amemtengeneza mandela
Nadhani huyu black widow faiza Fox ndio ajuwe kuanzia leo chuki zake kwa Nyerere zinaishia kariakoo tu.
yani kibongo bongo ni sawa kasema "huyo dogo kutoka Tanzania". teh heeee hehe kuna wazee wanahekima sijawahi ona.KK ni Umri wa akina mandela, kama wako 90, JK ni 60, sasa sio young man kwake?
Unaangalia TV gani mwenzetu??
Sasa kuanzia leo tuache kumsakama Kikwete, maana hata wazee wanamtambuwa kama Young Man from Tanzania.
Sidanyiki kwa lolote mzee mwenye miaka zaidi ya 60 aitwe young Man pasi na sababu. Hapa tunapaswa kutumia weledi kujuwa sababu ya hili, Nyerere alutuambia Kikwete bado ni mdogo na alikuwa over 45 wakati yeye Nyerere alikabidhiwa Tanganyika akiwa na miaka 39 tu.
yani kibongo bongo ni sawa kasema "huyo dogo kutoka Tanzania". teh heeee hehe kuna wazee wanahekima sijawahi ona.