Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
malawi chini ya kamuzu banda hawakushiriki ulombozi wa kusini mwa africa. Malawi walikuwa na balozi kabisa ya africa kusini na flight toka sauzi hadi blantyre. Banda alikuwa rafiki wa makaburu, na ndio maana ht Nyerer hakumfagilia. Mimi nilikuwa nasikiliza sana redio ya kiswahili ya south africa enzi hizo ikiitwa Channel Africa, watangazaji wake wote walitoka malawi wakiongea kiswahili, akina william njonanji na mosses mkandawile wengine nimewasau majina yao, redio hii baada ya uhuru wa south africa ikafa. malawi are not true liberation friendsJK kashamaliza,ila ile hotuba ya Mama Banda ilikuwa na ujazo wa kujitosheleza.Hata ule ujumbe kwa Graca,was very touching.