Mandela Funeral: Live updates

Mandela Funeral: Live updates

Siamini ninachokiona, Jeshi lina viongozi wa dini, naona kama jeshi na watu wa System wameteka nyara taratibu zote kukwepa mambo ya kimila ambayo yangeweza labda kucomplicate mambo! Huyu anaesali ni Mchungaji wa Kijeshi.... Jeneza liko kwenye kaburi tofauti na tulivyoambiwa kamera hazitaruhusiwa
 
1siwezi kuamini, jeneza la mandela limeshashushwa kaburini hakuna mbwembwe mambo ni kijeshi duh
 
Dah haya maisha yangekuwa ni ya kudumu ingekuwa vizuri sana. Soon he is going to be all by himself in the ground. Very painful.
 
Ulitoka kwa udongo, utarud huko. Bwana ametoa na ametwaa, Burian mandela

End of Movie
 
Back
Top Bottom