Mandela Funeral: Live updates

Mandela Funeral: Live updates

Kikwete kasema hajui (hana hakika) kama Thabo Mbeki alirudisha pasi yake. Na kasema kiutani tu.

Hakusema kama Thabo hakurudisha. Muwage mnasikiliza kwa makini na kuelewa.
Mkuu,
JF inasampuli zote, nadhani JK angeongea kiswahili kuturahisishia maana......mh!!!
 
inaelekea wale wa dini nyingine hawakushiriki kuusaka uhuru wa sauzi...maana bwana zuma anataja majina hapa wote wanaonekana wa dini nyingine

Sikukuu ya Idd South Africa siyo public holiday, kazi kama kawa sikukuu zisizokuwa kwenye kalenda kama wapiga ramli hawazitambui.
 
South Africa wanachaguwa chama boya wewe.

Kama hawamtaki hata leo wanamwondoa na chama kinateuwa mtu mwingine anaapishwa kuwa Rais. Msiwe mnakurupuka kwa msiyoyajuwa. Kuzomea ni kitu cha kawaida sana kwa nchi zenye demokrasia.

Kuzomea na mabango ni issue ya kawaida sana kwa democratic countries!
 
Kumbe serikali hii ya Tanzaniandio iliyokuwa inafundisha watu kujilipua. wa South Africa wamekuja hapa wakapewa majina feki, wakaukana uraia wao na walipewa passports za kusafiria na mpaka leo hawajazirudisha.

HAYO SIYO MANENO YANGU

Bali ni maneno ya Mheshimiwa, Ndugu, Mwenyekiti, Rais, Dokta JAKAYA MRISHO KIKWEYE kwenye mazishi ya Mandela huko kijijini QUNU.

Jk amesema wazi kuwa huyu rais wa sasa wa South Africa bado hajarudisha passport aliyopewa ya Tanzania kusafiria

sasa cha kujiuliza je AMBOKILE na IMMIGRATION wanajua hawa wa South Africa wangapi wana passports za Tanzania na south Africa?

au tumeamua kusamehe?

kama ni kwenye intelligence bas JK amme mmade Zuma live dunia nzima imeona.
Acha tabia za Bavicha wote tumemsikia JK kaongea kiutani wewe umeishakimbilia JF kuandika uzi, eti tanzania walikuwa wanafundisha kujilipua sijui umri wako inaoneka haukuepo wakati ule

Angalia sasa kwa haraka zako mpaka umechanganya majina,
 
Jamani tunabishana hapa et mama Maria yupo Qunu au laa? me nawaambia hayupo au sipo sahihi? niambieni wakuu
 
Kaunda, ntakukumbuka sana Enzi za kk eleven! Mungu akupe maisha marefu
 
Kaunda kanichekesha, kamrefer Kikwete kama "this young man from Tanzania"
 
Hivi kweli tukiziweka fikra zetu kuwa huru, Tutasema Hayati Madiba ni Shujaa wa Waafrika au Wazungu?
 
Kutokua na elimu kubaya sana, mama wa taifa nyerere angekua anajiweza hata kwa lugha tu angepewa nafasi ya kuhutubia leo

Acha Ujinga nani kakuambia Mama Maria Nyerere hajui Kingereza ? Kwani lazima Usome sana Ndio uzungumze English ? Wale wazungu wazaliwa wa Englang wote wamesoma ?acha Fikra za Ajabu Kama wangetaka Mama Maria azungumze chochote angehutubia kwa Kiswahili kwani wakalimani si wapo Pia ingekuwa njia mojawapo ya kukitangaza Kiswahili
 
Mzee Kenneth KAunda hapabaada ya kutoa kibwagizo cha ku-jog kidogo. Naona anatumia mistari ya kwenye Biblia kutoa speech yake. Love God with all your soul and strength and also Love your neighbor just as you love yourself. Thats how the "Great Young Man" according to Kaunda operated!
 
Mkuu watanzania wengi sio watu makini, wamejawa na bashasha za kishabiki.

Huyu bwana kaja mbio kufungua uzi ili apate kusifiwa mwisho wa siku kakosea kuanzia title ya habari hadi maudhui ya content.

Kikwete kasema hajui (hana hakika) kama Thabo Mbeki alirudisha pasi yake. Na kasema kiutani tu.

Hakusema kama Thabo hakurudisha. Muwage mnasikiliza kwa makini na kuelewa.
 
huyu mama Graca bado anaita sana tu.
Wewe!!!!!! Kuna Mganda mmoja kasema "Graca married Samora and he died, she married Mandela and he is dead, how i wish she marries Kaguta Museven so that he goes too"!!!!
 
Yani kwa muonekano wa kikwete,
asipojitambulisha unaweza kusema ni rais wa
Brazil hivi
. Jamaa ana haiba, alafu haongei
pumba, he got sense of charm ana ongea kwa
historical reference. In short najisikia raha
kusema JK ni rais wangu.

Sipati picha ndio eti rais wa nchi ni dokt slaa, au
mrema wangelitia aibu taifa

Mbona umeongea pumba hapo? Kwani wabrazil wana muonekano gani wa ajabu ambao waafrika hawana? Yaani mpaka leo bado unajichukia kisirisiri tuu?
 
Back
Top Bottom