Mandela Funeral: Live updates

Mandela Funeral: Live updates

This young man here comes out of ur work, kaunda anamwambia Maria Nyerere kuhusu J.K

Kamrusha nyerere kama mtu wa maana sana kwa africa
 
mmesikia speech ya Kaunda kamsifia sana Nyerere na mchango wake kwa SA wabongo tu tunapenda kuponda kamshukuru pia Maria Nyerere kwa kwenda na Kikwete kwa speech yake.
 
kaunda kaamua kukata mzizi wa fitina ..kweli kuna watu wanajua mchango wa nyerere
 
Kaunda kamaliza kwa kusisitiza umuhimu wa Nyerere na kuitambua Kazi aliyoifanya.
 
Angalau sasa ulimwengu unatambua mchango wa Tanzania katika kukomboa nchi za Afrika ikiwemo RSA.


Mzee KK kamaliza kila kitu..
 
This young man here comes out of ur work, kaunda anamwambia Maria Nyerere kuhusu J.K

Kamrusha nyerere kama mtu wa maana sana kwa africa

KK kamaliza kila kitu kwa Tanzania...

Long Live KK...

Nadhani huyu black widow faiza Fox ndio ajuwe kuanzia leo chuki zake kwa Nyerere zinaishia kariakoo tu.
 
Last edited by a moderator:
our Young man from Tanzania JK namwona ana sign autograph pata picha angekuwa babu slaa akili yote ingekuwa kwa winnie mandela
 
Sikukuu ya Idd South Africa siyo public holiday, kazi kama kawa sikukuu zisizokuwa kwenye kalenda kama wapiga ramli hawazitambui.
umepata kunikumbusha kitu flani humu jf, kuna member 1 humu alienda mbali na kudiriki kunena eti "baba wa taifa la Zanzibar ni John Okelo"
 
Katika hotuba ya kaunda amemtaja nyerere zaidi ya mara kumi, amemmwagia sifa kemkem na watu wameshangilia sana. Kweli nyerere ndo amemtengeneza mandela
 
umepata kunikumbusha kitu flani humu jf, kuna member 1 humu alienda mbali na kudiriki kunena eti "baba wa taifa la Zanzibar ni John Okelo"

Kwani uongo? Unadhani mapinduzi ya Zanzibar yaliongozwa na nani?
 
Back
Top Bottom