Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 903
- 627
- Thread starter
- #321
NINAONA MGOGORO WA KANISA NA WAZEE WA KIMILA KATIKA KUANDAA MAZISHI SIJUI MMENOTICE WADAU?
Mazishi yalipaswa kuanza saa 4 ili kuruhusu hatua za kimila kufuata kuelekea njia ya kaburini, lakini Kiongozi wa Kanisa amehakikisha amekula muda wa kutosha ili tukio hili lisitokee, pia hajaondoka pale mbele inawezekana anasubiri kuchukua hatamu... sina uhakika hali itakuwaje nina hamu sana ya kujua jinsi watakavyobalanc makundi haya mawili ambayo yamekuwa yakizozana kuhusu utaratibu wa mazishi
Mazishi yalipaswa kuanza saa 4 ili kuruhusu hatua za kimila kufuata kuelekea njia ya kaburini, lakini Kiongozi wa Kanisa amehakikisha amekula muda wa kutosha ili tukio hili lisitokee, pia hajaondoka pale mbele inawezekana anasubiri kuchukua hatamu... sina uhakika hali itakuwaje nina hamu sana ya kujua jinsi watakavyobalanc makundi haya mawili ambayo yamekuwa yakizozana kuhusu utaratibu wa mazishi