Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 524
- 131
Duh, makofi kwa Zuma yanatafutwa kwa tochi! Jamaa sijui kama atarudi Magogoni ya Bondeni baada ya uchaguzi.
KAMA MAHESABU YANGU YAKO SAWA NI VIONGOZI WAWILI TU KUSINI MWA AFRIKA WAMEHUDHURIA MAZISHI HAYA, AMBAO NI MAHASIMU, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania na Rais wa Malawi. Kitu ambacho sijakielewa ni kwanini kila Raisi wa Afrika ya Kusini akitaja malawi kuna kuwa na kicheko hata msema chochote alipoitaja pia kulikuwa na kicheko...
Hebu tuwekane sawa...
Sikiliza hapa hotuba ya JK leo tar 15 dec 2013 aliyoitoa kusherekea maisha ya tata Madiba kijijini Qunnu Westen Cape , RSA. Kwa ujumla ilishangiliwa sana pa alipowajulisha uwepo wa mama Maria Nyerere. Pia hapo awali alipotambulishwa mama Maria Nyerere ukumbi ulizizima ila tu pale alipotambulishwa Vicky Swai mwakilishi wa Chama cha Mapinduzi hakukua na kushangiliwa
Nawakilisha
Kama Mtanzania nimefurahishwa na hotuba safi ya JK....imeonesha wazi umuhimu wa taifa letu katika ukombozi wa SA...jamani kwenye sehemu kama hizi ni muhimu kuwasapoti viongozi wetu...tungejua wapi kama Madiba aliacha viatu? Kuwa alikuwa anatumia paspoti ya Tanzania? Na mpaka Leo Thabo Mbeki hajarudisha ya kwake....sisi ni wakarimu mno....na jumuia ya kimaifa inatambua hilo....ahsante mungu kwa tunu hiii......cha msingi sasa ni Serikali yetu kupambana na umaskini ili watanzania nao wawe na ufahari wa jumla
Yani kwa muonekano wa kikwete,
asipojitambulisha unaweza kusema ni rais wa
Brazil hivi. Jamaa ana haiba, alafu haongei
pumba, he got sense of charm ana ongea kwa
historical reference. In short najisikia raha
kusema JK ni rais wangu.
Sipati picha ndio eti rais wa nchi ni dokt slaa, au
mrema wangelitia aibu taifa
huyu mrembo alieandika 4 balaa
Mgao wako wa buku saba uko palepale hata usipomtaja Dr Slaa.
Rais wa Brazil hawezi kuhutubia kwa kiingereza bali kwa kireno.
Kichwa maji kabisa boya wewe.
huyu mrembo alieandika 4 balaa
Mazishi ya hayati nelson mandela yapo live star tv kwa ushirikiano na sabc news!
===============================================
===============================================
UPDATES:
Viongozi mbalimbali wa south africa wamehutubia kwa kutumia lugha zao za asili, na hata MC mwenyewe anatumia lugha ya asili mara nyingi iwezekanavyo. Hivyo wanaenzi lugha zao za asili.
SWALI MUHIMU SANA:
Je, rais wetu Jakaya Kikwete atatuwakilisha kwa kiswahili ama kiingereza?
Tusubiri tuone maana yupo kwenye list ya wazungumzaji leo.
=================================================
=================================================
UPDATES:
Rais J.K ametoa speech kwa kiingereza. Kaweka na maneno kidogo ya kizulu. Full stop.
Kuna haja ya kuweka kiingereza kwenye lugha ya kitaifa bila kuchelewa!
BADO KISWAHILI KINAKOSA JUKWAA KWENYE INTERNATIONAL COMMUNITY.