Mandela Funeral: Live updates

Mandela Funeral: Live updates

Huyu jamaa ambaye huwa anaghani kabla ya Zuma kuongea huwa ni nani?
 
Kuna jamaa hapa anaitwa Kolin Thumbadoo anafanya chanting kabla ya Zuma hajaongea. Huu utamaduni sijui maana yake nini? Kila watu na style yao!
 
Acha mambo yako hayo, Citizen wanarusha live hotuba ya JK bila chenga, nenda kalipie king`amuzi chako siyo kusingizia vitu visivyoeleweka.

Wameanza tena kurusha live baada ya Jk kumaliza kuhutubia
 
Naona Zuma anawaimbisha waombolezaji Kizulu, wimbo huu ulitumiwa wakati wa ukombozi.

Maana ya wimbo huu ni kuhusu kuikomboa ardhi iliyochukuliwa na makaburu wakati huo.
 
Wa south wengi wa sasa hawajui Tanzania ilikuwa nyumbani kwa wazazi wao. Nawakumbuka sana wakunjan pale
iringa, walikuwa wakivaa sana vi dont touch hahaaaa. Kuna jamaa alikuwa akiandika sana mashairi ya ukombozi kwenye gazeti la sunday news akijiita L
flaxman wa qoopane, msouth huyoooo ukisomq mashairi yake lzm uingie msituni ukatokee zimbabwe kuingia sauzi ukawachinje makaburu

Aisee!Sasa mbona we ulimsoma na haukuingia msituni ukatokee zimbabwe kuingia sauzi ukawachinje makaburu?
 
Wameanza tena kurusha live baada ya Jk kumaliza kuhutubia

Ni wabaguzi sana hawa jamaa..
ila speeech ya JK ni full history iliyojaa kujiona kuwa anastahili kuwa rafiki
 
Ok, wakuu mi najikata mbele ya screen naenda kudhurura, toeni Update vizuri. Au sio washikaji?
 
Hivi nimemsikia Zuma akisema his excelence Dr. Joyce Banda au nimekosea?
 
Kikwete mwongo sana...anadanganya live...alimdanganya Obama kwamba umati uliojitokeza haujawahi kutokea...hapa andanganya kuwa umati uliojitokeza kumpokea mandela haujawahi kutokea na rekodi haijavunjwa........Uongo wa MaCCM mbaya sana

Tuletee ushahidi kutoka hotuba ya Kikwete kumkaribisha Obama!!! No research, no right to speak!
 
Back
Top Bottom