Kweliii!Waandaaji wa speech za rais wetu ni dhaifu. hotuba inaonesha zaidi matukio kuliko kuuleza undani wa matukio hayo na uhusiano na tukio la leo katika nyanja za diplomasia na uchumi.
Kweliii!Waandaaji wa speech za rais wetu ni dhaifu. hotuba inaonesha zaidi matukio kuliko kuuleza undani wa matukio hayo na uhusiano na tukio la leo katika nyanja za diplomasia na uchumi.
JK anacheka hajui yuko kwenye msiba.
Kaongezea maneno yasiyokuwa kwenye hotuba....
Ila Nkwingwa, nadhani hii ni nafasi pekee kwa ulimwengu kufahamu mchango wa Tanzania katika Uhuru wa RSA na Africa kwa ujumla...
na Rais JK anaitumia ipasavyo...
JK anacheka hajui yuko kwenye msiba.
Waandaaji wa speech za rais wetu ni dhaifu. hotuba inaonesha zaidi matukio kuliko kuuleza undani wa matukio hayo na uhusiano na tukio la leo katika nyanja za diplomasia na uchumi.
Kutokua na elimu kubaya sana, mama wa taifa nyerere angekua anajiweza hata kwa lugha tu angepewa nafasi ya kuhutubia leo
Kwa hiyo kujua Kiingereza ndo kuwa na elimu?
Na kwani angeongea Kiswahili halafu wakatafsiri kungekuwepo ubaya?
Mbona Dilma Rousseff pale FNB aliongea Kireno....
Kwa hiyo kujua Kiingereza ndo kuwa na elimu?
Na kwani angeongea Kiswahili halafu wakatafsiri kungekuwepo ubaya?
Mbona Dilma Rousseff pale FNB aliongea Kireno....
Kikwete mwongo sana...anadanganya live...alimdanganya Obama kwamba umati uliojitokeza haujawahi kutokea...hapa andanganya kuwa umati uliojitokeza kumpokea mandela haujawahi kutokea na rekodi haijavunjwa........Uongo wa MaCCM mbaya sana
Kweli taifa linapoteza heshima kwa mambo ya kipuuzi kama hayo.Bila shaka Watz kwa leo tutaingia South Afrika wth warm welcome. Katangaza vizuri ukarimu wetu. Ila mnaopitisha unga mtatuharibia dili. Acheni washikaji, Kapuya et al.
Msibani watu huwa hawacheki?
Hata hivyo hotuba ya JK ni kuelezea mbio na harakati za ukombozi na nafasi ya Tanzania katika michakato hiyo.
Ndani yake kuna mambo ya kusisimua yenye kushtua kidogo mbavu za waombolezaji.
Kaongezea maneno yasiyokuwa kwenye hotuba....
Ila Nkwingwa, nadhani hii ni nafasi pekee kwa ulimwengu kufahamu mchango wa Tanzania katika Uhuru wa RSA na Africa kwa ujumla...
na Rais JK anaitumia ipasavyo...
Citezen television ya kenya wamesitistisha kurusha live baada ya kumwona Jk,jamani hawa wa kenya uwivu utawamaliza