Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja.Amad inamaana bado hajamfurahisha mwalimu ama hajapona vizuri?