Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rasmi nasimama na huyu bwana, amenifurahisha


Sir Jim Ratcliffe:
"We will decide the style of football, with the general manager, the sporting director and probably the recruitment managers, and it will be #mufc's style of football, and the manager will have to play that style."
 
Sir Jim Ratcliffe:
"We're not going to go back and forth between the Jose Mourinho style and the Pep Guardiola style.

That's not the way we'll run the club. Otherwise you change all the time, we won't do that. In modern football, you have to decide which path to follow and stick to it.”


Hatutaki kuwa malaya wa style za kiuchezaji ndicho anachomaanisha tajiri mwembamba
 
Rasmi nasimama na huyu bwana, amenifurahisha


Sir Jim Ratcliffe:
"We will decide the style of football, with the general manager, the sporting director and probably the recruitment managers, and it will be #mufc's style of football, and the manager will have to play that style."


Kuna watu wanauliza mbona tajiri wetu anasema sana??

Kwamba aache matendo yazungumze..

Mimi pia sina Shaka Sir Jim..
 
Sir Jim Ratcliffe on Dan Ashworth saga:
“It’s a bit silly, personally. I wont get dragged into that”.
“What I do think is completely absurd is suggesting a man who is really good at his job sits in his garden for one and a half years”.“It’s absurd and stupid”.

fabrizio romano tweet
 
Ratcliffe on Erik ten Hag: "What I would say, if you look at the last 11 years, Man United have had quite a few coaches".

"Nobody has been successful in that Manchester United environment".

"That would say to me that there's something wrong with the environment", told BBC.
 
1708542181405.png
 
Akipatikana CB & CDM itakuwa mwanzo wa kutatua matatizo ya muda mrefu ya United.

Ila bado kuna hizi nafasi LW, RW, ST, CM & RB siyo za muhimu sana kuziangalia msimu huu ila zinahitaji maboresho.

LW: Rashford siyo wa kumtegemea kufanya maajabu kila msimu. Niliona tetesi za PSG kurudi tena kusaka saini yake, tukiwa na watu makini wala wasisite kuchukua pesa hiyo.

RW: Antony, Sancho hawajaonyesha kwanini wapo United. Pellistri na Amad naona kama ni suala la muda tu watauzwa.

ST: Martial ataondoka mwisho wa msimu, Højlund ndiyo tegemeo pekee kwenye nafasi hiyo ukimtoa Rashford ambaye siyo mzuri kama vile anavyotokea pembeni. Hili eneo ni tata sana maana kupata striker mdogo ili aje kugawana dk na Højlund ni ngumu sana ila kama inawezekana Sesko atafaa sana. Wakina Osimhen au Toney huwezi kuwasajili bila kuwahakikishia dk za kutosha kwenye msimu.

CM: McTominay, Eriksen, Casemiro huenda wakaondoka msimu huu. Usajili wa DM na CM utakuwa wa lazima.

RB: Kuna uwezekano wa Wan-Bissaka kupata offers mwisho wa msimu huu maana Dalot tayari ana mkataba mpya na ndiyo chaguo la kocha. Huenda EtH akamrudia tena Frimpong ambaye amekuwa na msimu mzuri sna B. Leverkusen akitumika kama RWB.

CB & CDM: Haya ndiyo maeneo ya msingi, ni muda wa Maguire sasa kuonyeshwa mlango wa kutokea kupisha wengine. De Jong na Barca inawezekana ukawa ndiyo mwisho wao, EtH akipewa nafasi ya kumsajili FDJ nahisi hataiacha impite: STATEMENT SIGNING.

Usajili wa Mount msimu ujao ndiyo utakuwa na faida maana baada ya Eriksen na McSause kusepa itapunguza gharama za kusajili viungo wengine wawili.

Ila rungu la FFP linavizia, hivyo biashara za msimu huu zitategemea pesa za mauzo ya wachezaji.

Kuhusu kutwaa ubingwa bado naona ni ngumu sana maana timu haina structure kwahiyo hata wachezaji wapya wakija watakuta bado ni kikosi kinachoundwa na muda wa kucheza pamoja utakuwa ni chini ya mechi 10 msimu mpya unaanza.

Ku-challenge EPL naona msimu wa 2025/26 ikiwezekana 100% kabisa.
Nakupa 9/10. Hujakosea, umesahau tu LB
 
Zimwi la majeruhi la wachezaji wa muhimu limeanza upya alikuwa Martinez akaja shaw sasa ni hojlund.

itamulazimu kocha kumchezesha rashford kama namba 9 kwa mara nyingine maana hatuna strike hata wa akiba kuanzia kesho
front three kuwa hivi.

Garnacho rashford Antony
Screenshot_20240223-150621.jpg
 
kikosi Cha watu wazima kinashuka twende nalo.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha


My prediction

Manchester United 2 vs Fulham 1

1708783712286.jpg
 
Back
Top Bottom