Sure...ndiye top scorer wetu.Hapo mbele bora akae mctomnay
Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja.Amad inamaana bado hajamfurahisha mwalimu ama hajapona vizuri?
Benardo silva ni mrefu??Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja.
Kocha wako ana winga wawili benchi lakini ameamua kumtumia bruno upande wa kuliaHawa wachezaji huwa wanafurahia kucheza hivi?? Haijulikani tunacheza nini.