Benardo silva ni mrefu??Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja.
Kocha wako ana winga wawili benchi lakini ameamua kumtumia bruno upande wa kuliaHawa wachezaji huwa wanafurahia kucheza hivi?? Haijulikani tunacheza nini.
Wewe Ulihama Arsenal pambana na hali yako kwenye Timu ya ushindiYaani huwezi kuamini tunacheza nyumbani.
Bila shaka maajabu umeyaona1-1 dk 91 aded time 9
Tusubiri maajabu hapa.