Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh....ETH amemchoka kabisa ANTHONY. Ameona bora aanza dogo FORSON kuliko yeye.
 

Attachments

  • Screenshot_20240224_171927_All Goals.png
    Screenshot_20240224_171927_All Goals.png
    743.4 KB · Views: 11
Onana anaangalia Tu kama la pili Man U kwisha habari yake.
 
sawa wachezaji wetu wengi ni wepesi lakini hili haliondoi ukweli wa kushindwa kwa kipara.

Kuna watu waliamini wachezaji wetu wakirudi from majeruhi tutakuwa vizuri.

Tujiulize liverpool wana majeruhi wangapi, je uchezaji wao umebadilika?
 
Back
Top Bottom