Unaweza kumlaumu Maguire leo!! Kweli wewe mwendawazimu.Maguire anamsindikiza mtu baada ya hata kumvuta pale .
Acha kusingizia majeruhi, tumekuwa ovyo tokea mechi ya kwanzaMajeruhi ya luke shaw, Martinez, hojlund, ya tatuumiza sana ni wachezaji wa muhimu sana.
ally pipi leo umelambwa na watoto wa london kumbe pipi yenyewe lawalawaMajeruhi ya luke shaw, Martinez, hojlund, ya tatuumiza sana ni wachezaji wa muhimu sana.
kikosi Cha watu wazima kinashuka twende nalo.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 2 vs Fulham 1
View attachment 2914820
Halafu kwa kutuma picha Sasa kwny majukwaa ya wenzao...wakiongozwa na Security guard Flano🤠🤠Ukiwaona wako biize na matokeo ya wenzao, kama vile wao wako serious.
Nyie kweli nyumbu!!
hili zee linazinguaga sana na maneno yakeMotivational speaker katika moja na mbili
============
Erik ten Hag: “We showed big personality and character.”
Haya mambo mkishinda huwa hamyasemi..Another 17 shots against Man Utd for Fulham today, to go with 22 for Luton, 23 for Villa, 22 for West Ham, 16 for Wolves, 17 for Newport, 16 for Tottenham.
Simple stats that tell you the coach is not setting the team up well enough.