Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

| Tests are set to follow for Luke Shaw after he sustained a new injury today during the first half vs Luton Town.

π’π©πšπ§π§πžπ«πŒπ€π¨π§π¨π§π’


[FabrizioRomano]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2908257
Huyu jamaa sasa ifanyike namna auzwe pancha zimezidi
 
Hii sasa ndio ile inaitwa kula kwa jasho wakati ndugu zetu Asenyo wenyewe ikitimia miezi 9 ya ligi huwa wanazaa kwa uchungu.
1708281216814.jpg
 
1. Pambania ubingwa mpaka dakika za mwisho..

2. Cheza mpira mzuri

3. ubingwa achukue Liver/man city

Hatuwezi kuwalaumu. Ndiyo maisha mliyochagua.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ila United ya EtH inashangaza na kufurahisha, kwenye BIG 6 ndiyo timu inayocheza mpira mbovu msimu wote huu ila points wanapita nazo.
Mkuu bado uko na hawa ndugu zetu au umeshahamia Brighton and Hove '5G' Albion mazima?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Maisha ndo haya haya mkuu mpira ndo huu huu
 
Back
Top Bottom