Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aston Villa mnaniangusha wanangu. Piga hawa nyumbuz bhana. Shida iko wapi?
 
Casemiro na Mainoo wote wana yellow cards. Hapo katikati pana shida kubwa kwa sasa. Kabla ya dakika ya 60 toa Casemiro weka Tominay mapema. Kocha mzito sana huyu kufanya sub.
Nimewaza hilo piw double pivot yote kuwa na yellow ni risk sanaa
 
Back
Top Bottom