Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tottenham Hotspurs wana majeruhi pamoja na wachezaji watatu muhimu wapo timu ya taifa lakini bado standard yao ya kiuchezaji haijaporomoka.

Kocha wetu ni bwana visingizio

Yan tot hawana son,Maddison,kulusevski,bissouma etc na wapo organized unaona kabsa mpira una njia zake ila sisi ni butua mbele and inshallah
Man U hakuna kocha tukiri
 
Yan tot hawana son,Maddison,kulusevski,bissouma etc na wapo organized unaona kabsa mpira una njia zake ila sisi ni butua mbele and inshallah
Man U hakuna kocha tukiri
Unalalamika kwa wachezaji gani ulionao
Babu evans
Babu ericksen
Babu casemiro
Babu varane

Matumaini unaweka kwa garnacho maino rashford
 
Sancho anatoa assist tu huko...kocha hamna pale man u, mchukueni ata Julio
 
1705307694048.png
 
Back
Top Bottom