Tulia Wenger orphans bwenyenye jipya Sir Jim limekuja na neema yake.Mshinde Leo
Ole wenu Sasa mfungwe
Ahsante kocha, umesikia.Toa Ericksen haraka weka Tominay, Casemiro bado bado
Unamuangalia foden na kipaji chake pale city lakini hana namba first eleven huku kwetu tumeweka matumaini kwa garnacho na mainoo😀😀Kama INEOS wapo serious ni lazima United msimu ujao ipatikane tiba ya defense nzima pamoja na midfield.