Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20231213-003828_Chrome.jpg


Mctominay wakati wa nyerere alikuwepo,
Wakati wa mwinyi yupo,
Wakati wa mkapa yupo,
Wakati wa JK yupo,
Wakati wa magufuli yupo,
Wakati wa samia yupo,
Wakati wa kipara yupo.
 
ni bora hata huko uropa tusiende hatuna uwezo wakua na wake wawili nikiwa na maan hatuna team ya kushnda ligi na uefa ikiwa kund lenye team copenhag qaratasary vp huko 16 kwenye majayant si ni aibu tu
 
Wote hao wanafungika. Kundi limewaindea vibaya ila natamani kusema mmestahili kuondolewa huku. Bado hamjawa tishio. Kwenye premier league mna GD ya -3. Huku champions leadue league mmefungwa mechi 4/6 na haijawahi kuwatokea ndani ya miaka 25 ya ushiriki kwenu. Mmeburuza mkia kwa yanza ndani ya miaka 18 ya ushiriki wenu. Ni vema mkajipange upya.
 
Kwa mtu anayejali afya yake ya akili hili litimu ni la kukimbia.

Wamiliki hawajielewi, miaka 10 ya kutoa pesa tu bila kuwa na ramani ya kufika nchi ya ahadi.

Wachezaji hawajitumi kuendana na mishahara wanayolipwa, uwezo mdogo, uvivu.

Karibuni sana Brighton & Hove Albion.
 
Kwa mtu anayejali afya yake ya akili hili litimu ni la kukimbia.

Wamiliki hawajielewi, miaka 10 ya kutoa pesa tu bila kuwa na ramani ya kufika nchi ya ahadi.

Wachezaji hawajitumi kuendana na mishahara wanayolipwa, uwezo mdogo, uvivu.

Karibuni sana Brighton & Hove Albion.
Unachukua fursa ya kutafuta wafuasi
 
U bastards have the courage to post this after u got us kicked out of our dreams of ever winning the champion league ever again we couldn’t even qualify for europa . I take this chance to say onana is garbage ten hag is garbage hojlund is the worst striker i have ever seen. U guys just lost everything even to us fans who loose our trust each day on our team .Its no longer funny united play like u mean it,We’ve got liverpool next and i swear if we get beaten 10-0 i will find my way to old trafford u hear me

My ideas
 
Back
Top Bottom