HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
🤣🤣🤣 kumbuka conte naye alikuwa anavaa kiwigi, toupee. Hivyo wote ni vipara sema mmoja ananyoa nywele za pembeni ili awe kipara fully na mwingine anatupia tu ki toupee kwa juu.Hadithi ya kipara na mwanawe mctominay sijui itaisha lini.
Kipara ni CONTE asiye na nywele.