Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa wajerumani sijui wana tamaa ya hela. Kuna €2.8m kwa kila group game ukishinda. Plus wanataka kuload win rate yao ili wazidi kuonekana kuwa stats za kushinda ziko juu kwa ajili ya data za kuwapa wafadhili wapya na kuwapa nguvu katika mazungumzo ya dili mpya.
Wanakaza sana Wanao wachezaji wengi benchi tofauti na Madrid lakini wanakamia sana
 
We have lack of quality on the pitch,

Timu yetu ni mfano wa combine iliyokutana kucheza bonanza kwa sababu ya mix of profiles kwa wachezaji.

Wapo wanaoweza kupiga pasi,
Wapo wasioweza,
Wapo wenye utulivu,
wapo wasiokuwa na utulivu.
Wapo wenye lishe ya mwili kwa maana ya physicality,
Wapo wenye vifaduro.

Game plan ya mwalimu inaweza kuwa ni nzuri lakini execution yake ikawa tafrani

Ili mradi balaa tulilonalo.
 
utd inatumia energy kubwa mno kupata matokeo.. kwa jinsi misimu inavokuwaga mirefu.. si muda mrefu wachezaji pumzi zitakata na
nguvu zitapungua zakupambana kila game kwa intensity hii.
 
Back
Top Bottom