D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
Zidane alisema anasubiri ofa kutoka timu inayotaka kushinda na yenye uwezo wa kushinda.Bado amja mtaka zidane ? Uzuri wa kufundishwa na kocha anae jua na mwenye mafanikio kuliko pimbi zote za first eleven ya nyumbu
Siyo kweli watu wanajazana jukwaa la Arsenal kwa sababu ya mdomo wenu na kuzurura kwenye majukwaa mengine mkitambaAcha uongo Ally Pipi ,Arsenal hata tukisare mnakuja Kama mafuriko
Kwa Chelsea na Liverpool nakubali kabisa wanaishi kwa amani Sana ,hata wakiwa ovyo
Angalau Chelsea kidogo wanashtuliwa
Arsenal na manjesta huwa hapakaliki
huyu kweli anastahili ban. namna alivyoleta ripoti yake inamchafua sana kocha.Kaveh Solekhol
"Apparently Ten Hag has lost the faith of around 50% of the dressing room with many of the players complaining they "do too much running" during training and "don't understand what they're running for".
Amongst other complaints were the fact Ten Hag is too set in his ways and many of the players think that the Sancho situation has gone on far beyond what is reasonable."
Timu huwa haliishiwi visanga hiliThe Manchester United squad are angry at two players for leaking stories to the media.
Mbona Chelsea Liverpool wanazurura majukwaa ya watu na hawasakamwiSiyo kweli watu wanajazana jukwaa la Arsenal kwa sababu ya mdomo wenu na kuzurura kwenye majukwaa mengine mkitamba
Sarcasm iyoUmemjibu kinafki au ndio akili yako kabisa?
Bado hamjasemaKaveh Solekhol
"Apparently Ten Hag has lost the faith of around 50% of the dressing room with many of the players complaining they "do too much running" during training and "don't understand what they're running for".
Amongst other complaints were the fact Ten Hag is too set in his ways and many of the players think that the Sancho situation has gone on far beyond what is reasonable."
Sasa subiri leo tuwabomoe ninyi Manundu FC goli za kutosha ,mtaukimbia huu uzi wenu na hamtaleta pua zenu tena humu , huu uzi tunautekaChelsea ikiwa na msimu mbaya uwezi kuona watu wakienda kuchangia kule jukwaa lina baki kimya.
Liverpool ikiwa na msimu mbaya uwezi kuona watu wakienda kuchangia kule.
Arsenal imepitia misimu mibaya lakini jukwaa lao lilikosa wachangiaji kabisa.
lakini ni tofauti na man u hata tuwe na misimu mibaya kaisi gani uji kuona jukwaa letu limekosa wachangiaji.
Unajua ni kwanini sababu ili timu yoyote ipate attention lazima ijibishane na man u tu.
pasipo man u ligi ya EPL inaweza kufa pamoja na man u kufanya vibaya toka Ferguson aondoke ili jukwaa alijawai kupoa sababu man u ni nembo ya soka kwa England na dunia nzima.
GGMUView attachment 2833546